Arsenal (The Gunners) | Special Thread

An exchange deal between Bellerin and Rugani is not happening. As for Lacazette, no progress has been made given Arsenal's valuation of the player. [@FabrizioRomano]
 
Arsenal, final details for Gabriel. Working on contract definition and engagement.


@SkySport #afc #transfer
 
Aliyekuwa kocha wa muda mfupi wa Arsenal, Freddie Ljungberg ameachana na klabu hiyo. Kabla ya ujio wa Mikel Arteta, Ljungberg alikuwa kocha wa muda akishika nafasi iliyoachwa wazi na Unai emery na baada ya ujio wa Arteta akawa sehemu ya benchi la ufundi.


"Nimefikia uamuzi huu ili nikajiendeleze katika malengo yangu ya kuwa kocha mkuu"
 
Kila la kheri kwake.
COYG
 
On my side am looking different kabisa juu ya prediction over the game

Namuona Neymar junior dos Santos da Silva akiwabeba PSG

aisee battle ya alphonce Davies na mbappe naisubiri kwa hamu maana wote wana Kasi ya kimbunga

PSG anashinda
 
On my side am looking different kabisa juu ya prediction over the game

Namuona Neymar junior dos Santos da Silva akiwabeba PSG

aisee battle ya alphonce Davies na mbappe naisubiri kwa hamu maana wote wana Kasi ya kimbunga

PSG anashinda
Nishawekeana na mtu elfu mbili kwamba PSG hatoboi. Na wewe kama unataka weka.

Hahaha nazingua. Unajua PSG ana advantage ya kua na Neymar, Mbape, Di Maria na Icardi hawa wote wako vizuri hivyo kusema Bayern atashinda inataka moyo mgumu kidogo.

Lakini hoja yangu mimi naiegemeza kwa kuangalia game ya PSG na Atalanta na PSG na RB.

Atalanta alipiga pasi zaidi ya 350. RB alipiga pasi zaidi ya 415. Na wote walimshambulia sana PSG Navas alithibitisha ubora wake kwenye game na Atalanta.

Game na RB ilikua wazi kwamba RB wanachokosa ni striker. Poulsen hana kiwango cha kutisha uwepo wa Werner ungeisaidia RB siku wamekutana na PSG.

Bayern ameifunga Barcelona goli nane lakini alipiga pasi chini ya 414. Alivyocheza na Lyon alipiga pasi zaidi ya 450. Hii inamaanisha kwa Bayern ukijichanganya kumiliki mpira na kumshambulia kwa kujiamini yeye pasi zake zitakua ni za kutafuta mabao tu, wakati ukipaki basi atapiga pasi nyingi ili kupata chansi.

Now tujiulize, PSG atapaki basi? Naamini jibu ni Hapana. Huko kufunguka ndiyo kutaipa chansi Bayern kupiga pasi za kutafuta kuscore tu.

Ila nipo serious. Nimewekeana na mtu elfu mbili.
 
According to @DiMarzio .. Arsenal and Gabriel's agents are now working on contract details and completing official papers to complete the full procedures for completing the deal..so the official announcement was delayed .. Napoli's dream of contracting with the player has completely vanished ..


.@FabrizioRomano on Gabriel Magalhães:


“Arsenal increased their bid to the player & are confident to sign him. I think [he will join Arsenal] soon.”

[IG comments on fabriziorom] #afc
 
My brother

Haimaanishi statistics za RB LEIPGZ vs PSG ndo ikawa factor ya PSG kufungwa na BEYERN,Always mpira haupo hivo,kila timu inacheza kutokana na quality ya opponent pia vilevile timu hucheza kutokana na stage ya tournament.. PSG final stage ndo Mara yao ya kwanza..so I hope watapambana

Unfortunately enough am not a gambler ila tayari buku2 tayar ushaliwa

Remember my words kwamba Neymar jr atawabeba PSG
 
Gabriel Magalhães to Arsenal, here we go! Total agreement just completed: he will fly on Monday to London to sign his contract until June 2025, €30M to Lille (add ons included), official statement on next week. The deal is finally done.
#AFC #Arsenal #transfers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…