Yeah wewe Europa saizi yako ..wanaume tuachie tupambane na wanaume..Barca buana,mimi nikifikiria mambo haya ya kutunguliwa 7up kama jirani kule, na 8 8
naona bora nipashe yuropa kwanza



Usilinganishe arsenal na vitu vya ajabu ajabu wewe!Hii Barca ya sasa ni arsenal iliyochangamka..
Haaahaaaa huu ushabiki huuUsilinganishe arsenal na vitu vya ajabu ajabu wewe!
Siumepigwa 7 wewe, nenda UCL ukiwa uchi tena , utapigwa 14Yeah wewe Europa saizi yako ..wanaume tuachie tupambane na wanaume..
#CFC![]()
Umesahau ulipigwa 10 tena ukiwa kwenye Ubora wenu kabisa.Siumepigwa 7 wewe, nenda UCL ukiwa uchi tena , utapigwa 14
Kubali na nyie mlitandikwa 7 bado ipo kwenye historyUmesahau ulipigwa 10 tena ukiwa kwenye Ubora wenu kabisa.
Mimi na ubovu wangu nimepigwa 7 ningekuwa vizuri wale hata dro wasingepata, umesahau uefa final? Allianz Arena
Acha kelele umekula 7 wikiUmesahau ulipigwa 10 tena ukiwa kwenye Ubora wenu kabisa.
Mimi na ubovu wangu nimepigwa 7 ningekuwa vizuri wale hata dro wasingepata, umesahau uefa final? Allianz Arena