Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Willian atavaa namba 12?
Yes he will wear no.12
IMG_20200814_140811.jpg
IMG_20200814_140043.jpg
 
Usajili Updates:
Safi, bado Thomas

Arsenal wanashindana na Juventus na Pirlo anawataka Partey na Pogba kujenga midfield ya nguvu.

Kwa kuwa Arsenal tayari wanazungumza na AM basi tungojee any positive outcome.
 
Edu ameomba uvumilivu kwa mashabiki wa Arsenal, akisisitiza kwamba mchakato wa kuirudisha tena timu utachukua muda

"Tunajua tunachotaka ili kuirejesha sawa timu ... lakini huu ni mchakato mrefu ambao utachukua muda .

Tutahitaji kuuza wachezaji na kununua wengine, lakini tunajua nini tunataka (Edu na Arteta)
IMG_20200814_143241.jpg
 
DEAL LA COUTINHO NAONA KABISA HALITAFANIKIWA , LABDA OZIL ASEPE

Plan za Arteta ni kumtumia WILLIAN as Number 10 na sio Winger, kwa short Term plan naweza sema hili ni deal zuri sana kwa Arsenal hapa bado Two Midfielders na na One CB .

Nguvu zote sasa ni kwa Partey , nadhan Kinachotakiwa ni Ku trigger Release clause hakuna kingine
#

#Coyg
IMG_20200813_220343.jpg
 
.... Willian Anashare Mgahawa mmoja pale London na mbrazil mwenzie David Luiz. unaitwa *Babur restaurant*.....

Kingine Willian ana urafiki mkubwa sana na mkurugenzi wa michezo pale arsenal ambaye pia ni mbrazil.... Mr. Edu Gaspar

Agent wa willian, David luiz na coutinho, agent wao ni mmoja. KIA JARCHOBIAN

Willian na Familia yake wanapenda sana maisha ya London na wanapafurahia pia., kias kwamba baada ya Brazil second home ni London, hivi majuzi Willian amepata hati ya uraia ya uingereza..kutokana na Ishu ya uraia pacha.

Ziada zaid mkataba mrefu wa miaka mi 3, wa paund 220,000 kwa wiki sawa na T.sh.600M+ zimerahisisha kumshawishi Willian kwenda the Gunners..


Karibu North London WILLIAN BORGES DA SILVA
IMG_20200814_122019.jpg
 
Willian is earning 100k weekly with his signing fee at 6.5m .. Media’s making look like he’s earning 220k week,
 
Mnahera nyinyi za kufanya usajiri mkubwa au mnataka mmarekani wenu ajinyonge.
Pesa ipo ya kutosha kufanya usajiri mkubwa Arsenal, ndio kwanza tumefungua
uzinduzi wa usajiri!!
London is red forever!!
You're Welcome friend!!
 
.... Willian Anashare Mgahawa mmoja pale London na mbrazil mwenzie David Luiz. unaitwa *Babur restaurant*.....

Kingine Willian ana urafiki mkubwa sana na mkurugenzi wa michezo pale arsenal ambaye pia ni mbrazil.... Mr. Edu Gaspar

Agent wa willian, David luiz na coutinho, agent wao ni mmoja. KIA JARCHOBIAN

Willian na Familia yake wanapenda sana maisha ya London na wanapafurahia pia., kias kwamba baada ya Brazil second home ni London, hivi majuzi Willian amepata hati ya uraia ya uingereza..kutokana na Ishu ya uraia pacha.

Ziada zaid mkataba mrefu wa miaka mi 3, wa paund 220,000 kwa wiki sawa na T.sh.600M+ zimerahisisha kumshawishi Willian kwenda the Gunners..


Karibu North London WILLIAN BORGES DA SILVAView attachment 1537171
Hapa tumepata mmoja wa wachezaji mzuri ulimwenguni!!
 
Nimetoka kuangalia video clips za Willian na Partey youtube..

Kiukweli pale kwa Willian tumelamba dume!

Sasa tufocus kwenye usajili wa Thomas maana jamaa anatusubiri sisi tu tukamchukue.

Kusema ukweli kwa kipindi hiki sijawahi kuona DMF mwenye uwezo wa kupiga chenga na stamina kama alivyo Partey..

Tukikamilisha na usajili huu, mimi nahesabia kama tayari tumemaliza usajili, Edu nakuwa simdai tena.
 
Information confirmed to TheAFBell:

Thomas Partey will join Arsenal this summer after agreeing to a contract that extends for the next four years. The strength of the deal will be the penalty clause estimated at 50 million euros. The player will not play for Atletico Madrid again.

More details next week in a special and exclusive coverage on our account.
 
Nimetoka kuangalia video clips za Willian na Partey youtube..

Kiukweli pale kwa Willian tumelamba dume!

Sasa tufocus kwenye usajili wa Thomas maana jamaa anatusubiri sisi tu tukamchukue.

Kusema ukweli kwa kipindi hiki sijawahi kuona DMF mwenye uwezo wa kupiga chenga na stamina kama alivyo Partey..

Tukikamilisha na usajili huu, mimi nahesabia kama tayari tumemaliza usajili, Edu nakuwa simdai tena.
Partey tayari 90%
 
Back
Top Bottom