Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hili ni kweli nimeona hata mashabiki wakiliongelea.
Saka ni Mzuri akicheza LW au LWB.

Huyu sio wide player material ,akiwekwa LW au RW hana zile character za Winger wa kiwango tunachohitaji .

Uingereza ili uiweze inahitaji kasi tricky /skills na end product nzuri ,

Unaona kina saint maxim na Adama traore wameipmprove end product wamekuwa wanyama Sana ukiwa wa hivi unacheza winger utaumiza Sana.

Pepe anakuwa hana hatari sababu ya Jicho kwenye End product na amepunguza kasi anaogopa majeruhi sana.....angekuwa na sumaku left foot yake na tricky wangemtaka mbona EPL.


But Leo Saka kacheza RW sababu Pepe ana majukumu ya kifamilia.
 
Saka on his best position:

"Like I always say, it's just a dream to play for Arsenal. I'm only 18 and I came from the academy and I'm just happy that the boss is putting me out on the pitch. He's shown so much faith in me so wherever he picks me, I just have to give my all."
 
As things stand, there is a ‘good chance’ that Guendouzi leaves the club this summer. #AFC are offering him to clubs in swap deals, in exchange for players they want to sign


[info: @David_Ornstein, via @theconv3rsation]
 
ARTETA anasema bado anajenga timu

Arteta's press conference: "We still have a lot of things to improve in our attacking patterns, the way we use the spaces, the way we read the other team, but that will come." #AFC #Arsenal
 
Rumours

Mikel Arteta has told the Arsenal board that he has persuaded Willian join #AFC. Big pressure on #Arsenal board to get deal done! Juve also want him but player wants to stay in London!
 
ICYMI: #AFC are confident that Thomas Partey, who is keen to complete the move, will sign for the club this summer. Francis Cagigao identified him as a key target initially then Edu and Arteta approved the pursuit of the deal.
IMG_20200705_073238.jpg
 
Kuwafunga Wolves Molineux si kazi rahisi mazee! Jana Arteta jana Arteta kaonyesha kwanini Board ilimuamini na kumpa hii timu

Jana kafanya Substitution za maana sana, Sub za kiufundi kabisa! Kwa mfano Adama Traore alikuwa anasumbua sana upande wa kushoto alikuwa anafanya cut in nyingi! Alichokifanya Arteta akamtoa Tierney akamuingiza Maitland Niles anayetumia mguu wa kulia na ukawa ndio mwisho wa Adama

Kitu kikubwa Arteta amekibadilisha kwenye hii timu ni kucheza kwa nidhamu kubwa na kujituma muda wote kwa wachezaji hasa wakati wa kudefence, Katika game 21 za Arteta kama kocha Arsenal ime manage kukeep clean sheets 10!

Ukiiona Arsenal inavyocheza unaona kabisa dira ipo ni some of quality players tu wanahitajika kuirudisha timu kwenye ubora

Hasa eneo la Midfield! Ukiangalia kwenye mid mtu wa maana tuliyenaye ni Granit Xhaka,so kwa uhakika inabidi tupate Mtu wa maana wa kucheza pembeni yake na creative Midfielder mmoja that's why nasikia tuko after Partey na Dominic Szosbzlai

Binafsi nina imani sana na Arteta sema Board pia Chini ya Raul Sanlehi, Edu na Vinai inabidi ioneshe imani pia kwa kufanya usajili wa maana
IMG_20200705_074012.jpg
 
Willock bado sio mchezaji wa kuichezea timu kubwa ya Arsenal kama tunataka kushindana na wakubwa kwenye kubeba makombe

Acha kocha ajenge tim tu, madogo hua wanauzwa na wengine wanaenda kwa mkopo. Piga moyo konde ndio kwanza mwaka wa 17 bila kombe. Tutafikia mafanikio ila kwa kujipanga sio kununua peke yake. Unaweza ukanunua na akachua misimu miwili ndo akawa kwenye fom. Cheki Pepe. Arteta anajua kazi. Pa1
 
Umeongea point ila problem kwangu ni kwa willock na Matteo au Nelson,hawa wamepewa sana nafasi pale tena sana ila no improvement,angalia saka na Martinelli hawa wote wanalingana na hao nliowataja juu ila angalia kazi yao mpaka wakubwa wenzetu wanaanza kuwamendea hata Nketiah sio mbaya sana ila lazima tuwe na striker mwenye kiwango sio wa kubahatisha
Acha kocha ajenge tim tu, madogo hua wanauzwa na wengine wanaenda kwa mkopo. Piga moyo konde ndio kwanza mwaka wa 17 bila kombe. Tutafikia mafanikio ila kwa kujipanga sio kununua peke yake. Unaweza ukanunua na akachua misimu miwili ndo akawa kwenye fom. Cheki Pepe. Arteta anajua kazi. Pa1
 
Umeongea point ila problem kwangu ni kwa willock na Matteo au Nelson,hawa wamepewa sana nafasi pale tena sana ila no improvement,angalia saka na Martinelli hawa wote wanalingana na hao nliowataja juu ila angalia kazi yao mpaka wakubwa wenzetu wanaanza kuwamendea hata Nketiah sio mbaya sana ila lazima tuwe na striker mwenye kiwango sio wa kubahatisha
Matteo anauzwa
 
Thomas Partey is fully focused on ending the season with Atletico Madrid. Just like Lucas Torreira in 2018’s World Cup. Arsenal and Partey are expecting a happy ending, but when the time is right.
 
Reports are suggesting that Thomas Partey doesn't want any friction with the hierarchy of Atléti but would like the move to Arsenal to happen sooner, rather than later.
 
Back
Top Bottom