Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya majamaa yanajifanya hayafuatilii timu yao, yakishinda hii mechi utayaona yanakuja hapa kufanya analysis za uongo na kweli na muendelezo wa vitetesi uchwara.

Mkishinda Mmbaki huko huko tuachieni jukwaa tutawale.

Sent using Fly in any Weather.
Sasa hapa JF wanaonesha mechi mkuu, mimi Arsenal ikicheza huwa naacha shughuli zangu zote naconcetrate katika game, sasa ulitaka tupige zogo hapa wakati chama lipo uwanjani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…