Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hongereni kurudi uwanjani pia poleni kwa kuanza na kipigo kitakatifu. Nikwepo kwenye mazishi hapo baadae kuwasilisha rambi rambi za wana blues wote
 
Aiseeeeehhhh....timu inafungwa jijini Manchester lawama anapewa raia aliye huku Ubungo maziwa hahahahahaha ndio maana sihami hii timu,naipenda mnoooo

Aaron Arsenal kajificha kukimbia lawama za washabiki.

Hivi inakuaje mtu unachagua kushangilia timu kama Arsenal!

Mimi naona hizi shida mnajitakia wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…