Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kaangalie ujumbe wa Auba insta acha kupotoshwa na huyo nyumbu.
 
Kunywa maji kwanza hangover ya mataputapu uliyokunywa ikuishe
 
Uyo Wenger alibeba kipind hamna sheria za offside ivyo alikuwa anashinda shinda tu kimazabe ..lakin baada ya sheria kuanza angalia alipoteana hadi leo arsenal inaenda kuwa kma Bolton

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenger alibeba hilo kombe kipindi mpira unachezwa na wanaume, sio hawa kina Marioo Tammy Abraham.
 
Ahaaa kaka tafadhali tuombe radhi ina maana nyie Chelsea mlikuwa na mabinti,mkashindwa kupata UNBEATEN record au

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ule ulikuwa ni zama za kubebwa za Arsenal kama zilivyokuja za Man u kubebwa na akina Howard Web na sasa tunaona Liverpool ikibebwa na VAR, sisi Chelsea atukuwahi ata Siku kuonja ladha ya kubebwa na marefa wala teknolojia yeyote ile ..

#CFC


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenger alibeba hilo kombe kipindi mpira unachezwa na wanaume, sio hawa kina Marioo Tammy Abraham.
Wakati uo mpira hakuna cha offside akuna cha nini ..ivyo walikuwa wanacheza bila mwelekeo wowote angalia mpira wa sasa ..ndo maana timu kama Arsenal mifumo ya uendeshaji ilivyobalika zikaanza kupoteana ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…