Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Sawa but you better shoot an email to the management coz we here can do nothing.Sokratis, Luiz ,Chambers ,Holding ,Mustafi, Lacazette, Leno wapo wengi ambao ni are not good enough for this club Hamtakuja ku compete for anything ni Aubameyang peke yake ambaye unaweza kumuita World class player at this club waliobakia ni Takataka.
Arsenal are not good enough for this club
Vipi tungefika fainali tukapoteza,....angesepa ama asingesepa?auba lazima asepe tu.kwa hali kama hii atavumilia mpaka lini?! kajituma 100% kwenye kipind kigumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo jukwaa la Chelsea ufurahi Chelsea kufungwa na buyern ..dunia hii imejaa watu waajabu sana
Kwan ww umefuata nn hukuNjoo jukwaa la Chelsea ufurahi Chelsea kufungwa na buyern ..dunia hii imejaa watu waajabu sana
Y not u instead
That's life Mkuu Leo hii tunatolewa round ya 32 tena Emirates na timu ya ugiriki??our season is over now na itachukua hata miaka 5 Arsenal kuwa na uwezo wa kuingia top 4*****mmmaee
Sent from my Infinix X606B using Tapatalk
Hatimaye baada ya miaka 22 ya Mzee Wenger timu yetu ya ARSENAL imejifia rasmi na inazidi kudidimia!chini ya Mzee Wenger tumecheza champions league karibia mara zote na hata Europa league tukafikia nusu fainali na alivyokuja Unai akakuta Msingi wa babu bado umekaa vizuri tukafikia hadi fainali na kuingia top 6 sababu Msingi bado ulikuwa upo sawa Leo hii timu hii hata top 10 hatuna uhakika wa kuimaliza na tumetolewa round ya 32 tena Europa league duh ARSENAL yangu imejifia rasmi na itachukua miaka na miaka kukaa sawa hata big players hawatataka kuja kwenye timu ambayo msimu ujao hatutashiriki champions league wala Europa league Leo hii ARSENAL imetolewa ila wolves amefuzu tena kacheza na timu ya spain duh hatari sana na msimu wetu ndo umeisha rasmi hata mechi zilizobakia kuangalia ni kujitafutia maumivu makali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yametimia sasa. Kelele nyingi hamna kitu. Kazi mnayoiweza ni kuhakikisha mnabaki Premier League msije jisahau mkashuka daraja.
Yani kumbe we jamaa ni shabiki wa ArsenalTukubaliane tu hii mechi wachezaji hawakuwa timamu vizuri....Au pia walidharau mechi baada ya kupata ushindi ugenini... Japo tuna maumivu ila mimi nimekubaliana na hali... Njia ya kuingia uefa kupitia Europa yenye misukosuko ndo hivyo tena blocked kwetu... Hapa ni kukomaa na njia iliyobaki ambayo ni ngumu kiukweli.