Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bukayo Saka. ..kuhusu kupiga pasi 22 hadi goli

"Mikel anajaribu kurudisha falsafa yetu , jinsi Arsenal inavyopiga pasi nahisi tumecheza vizuri sana hasa katika kipindi cha kwanza." #Afc
 
SAKA KUHUSU PARTNERSHIP YAKE NA MARTINELL

" Tunafanya mazoezi mengi pamoja, tunaongea mengi ni kama Rafiki yangu, Kila muda tunaongea jinsi ya kuwapita Walinzi(mabeki) na kwenda mbele kufunga magoli"
 

Mzee mwenzangu! Like goli la pili ni pepe ndio alipiga pasi kwa saka amabae akaweka cross ya chini chini eddie akamalizia.
 
Hawa si wa kuwategemea sana sababu huwa hawana consistency hapo ndo tatizo linapoanzia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
From
|| Komanda1 (Tier 1-2 for the country), state that a deal has been agreed between Arsenal & Shakhtar for Mykola Matviyenko. Only the final details to be sorted.
 
KUTOKA UKRAINE || Source inaitwa Komanda inaaminika sana , Inaripoti Arsenal imekubaliana na Shaktar Donesk kuhusu Beki anayecheza LB, LCB , RB Mykola Matyviyenko .

Zimebaki details chache kukamilisha deal.


HII BEKI IKITUA TUTAKUWA TUMEFANYA USAJIRI MAKINI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…