Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mkuu pepe anabadilika vzr tu,Pepe hatabadilika uchezaji wake ndio alivyo. Na huo uchezaji wake ndio ulimpa mafanikio makubwa Lyon mkamuona.
Na uchezaji huo huo akienda timu nyingine anaweza akapata tena mafanikio kama ya Lyon. Labda tuone Arteta atambadilishaje
Labda apewe vyakula vya kunenepesha, mwili uongezeke kilo, hapo atapunguza uharaka haraka.
Sent using Cash Money Wings
Kuna wachezaji wa Arsenal wanapata mishahara ya bure;
1. Mustafi
2. Ozil
3. Lacazette
4. Pepe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wapinzani gani wanakuja kutucheka hapa?.. Mbona wewe ndo unaongoza kuishambulia timu Kila siku? Jana tu umesema tuna wachezaji takataka!.. Hapa huwa anakuja ARV kila timu yao inaposhinda au sisi tukifungwa, pia Cash money huwa anakuja hapa lakini jamaa ni muungwana huwa anakuja kutupa pole! Wengine wanaokuja hapa huwa wanapita mara moja moja then wanasepa. Wewe ndio unaongoza kuishambulia Arsenal katika jukwaa hili!.. Mimi huwa nashabikia pia Yanga, Biashara ya Musoma na zamani kidogo nilikuwa fani wa timu yangu ya mtaani ya black people pale majumba sita Ukonga!.. Asikwambie mtu hata ingetokea timu yetu ya black people ipate nafasi ya kucheza na Simba tungebaki na matumaini yetu kuwa huenda tunaweza kuifunga Simba ingawa tunajua kuwa kuifunga simba ni kazi kubwa sana, mara zote hatukuinanga timu kila tulipokuwa tunapewa kipiga pale Air wing jeshini! Tulibaki sold na timu yetu!.. Sasa wewe hapa ndio umekuwa mnangaji mkubwa wa timu yetu mpaka wapinzani wetu hawatusemi tena maana unawasaidia kutunanga kwa unangaji uliotukuka!.. Mara oooh, wachezaji wetu ni takataka tu, mara ile timu wanaume ni wanne tu, mara ooh timu hii ni ya hovyo sana, mara timu itoe pesa isajili wachezaji wa maana!.. Sasa hata sisi tunajua matatizo ya timu yetu na tunaamini yatafanyiwa kazi.. Yaani ni sawa na unaenda mtaani halafu unaanza kumponda mke wako kuwa hajui kukata kiuno usiku kunako majambozi, au mara oooooh, mke wangu anajamba sana usiku!.. Sasa hapo wenye akili wanakuona hamnazo.. Wewe unafikiri unacholalamikia kila siku sisi hatukijui? Yaani the same story kila siku mpaka watu wanakuwa bored. Sasa kama ulikuwa hujui timu zenye mashabiki wenye umri wa miaka kuanzia 30 hadi 50 ni Arsenal na Man u, mashabiki wa man city na chelsea ni wa juzi tu!.. Hapa kuna watu wanaijua Arsenal kuanzia ile Arsenal ya 1996!.. Ile Arsenal ya akina wiltod, tony adams na yule mchawi wa kiholanzi Dennis Beckamp!.. Sasa unapolalamika sana hapa mara oooh, naijua Arsenal tangu zaman, kwani unafikiri kuna shabiki wa Arsenal wa juzi hapa?.. Ndani ya hili jukwaa kuna waxheza mpira maarufu wa simba na yanga, pia kuna makocha nguli humu ndani! Usishangae hata JPM anaweza kuwa humu na anaifuatilia Arsenal!.. Sasa unaposema wapinzani wantushambulia hapa, mimi nabaki nakushangaa tu maana sisi sote tunapita humu!.. Nimefuatilia sana hoja zako nimegundua hujui kuwaelewesha watu kuamini kile unachoamini na unatumia hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja!.. Kiukweli toka uanze kuchangia hapa jukwaani, jukwaa limegeuka kuwa kero na sio tena jukwaa la sisi wana Arsenal kupeana faraja na up dates za timu yetu!.. Tafadhali toa mchango wako ambao ni constructive kwa jukwaa hili na sio kubomoa, toa mchango wako ambao utatujenga na kuimarisha umoja wetu na sio kutunanga!.. Siku hizi naona wapinzani wetu wamekuwa wanakuja hapa kukuunga mkono!.. Hivi kweli wewe huwa hujiulizi why wana gunners hawaku-support hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kwaio jamaa kashindwa kuklik kwenye mifumo ya ArtetaCeballos' loan could be cancelled in January.
The Spaniard has been suffering from injuries this season.
He's yet to play under Mikel Arteta.
Dani Ceballos has hinted that his loan spell at Arsenal may be cut short this winter.
In reply to Hector Bellerin's post on Instagram the Spain international wrote: "I'll miss those goals with the left foot bro! You deserve all the good that happens to you."
Ceballos has been fit for several weeks now, but he is yet to make an appearance under Mikel Arteta. The 23-year-old midfielder was an unused substitute during the Gunners' 2-2 draw against Chelsea.
The Spaniard, who was signed on a season-long loan from Real Madrid, has made 17 appearances for the Gunners this season scoring one goal and making two assists.
Habari ndio hiyo, sina kawaida ya kuwalisha matango pori
TuliaNa nyie jana mmeokota POCHI ya Mzungu mnajidaaaaai.
Sent using Cash Money Wings
Pepe katoka Lille sio LyonPepe hatabadilika uchezaji wake ndio alivyo. Na huo uchezaji wake ndio ulimpa mafanikio makubwa Lyon mkamuona.
Na uchezaji huo huo akienda timu nyingine anaweza akapata tena mafanikio kama ya Lyon. Labda tuone Arteta atambadilishaje
Labda apewe vyakula vya kunenepesha, mwili uongezeke kilo, hapo atapunguza uharaka haraka.
Sent using Cash Money Wings
Ian Wright tells Chelsea fan to ‘go and **** yourself’ after Arsenal salvage drawNa nyie jana mmeokota POCHI ya Mzungu mnajidaaaaai.
Sent using Cash Money Wings
Nakubali 110%, mwanzoni nilidhani ni maoni tu, kuna hater mmoja anaitwa "Mike Dean", aise sijawahi ona referee anaeichukia timu ya Arsenal kama yeye..Sasa hivi ushindi wetu upo mikononi mwa officials pia,Hata kama mpinzani tumeshamzidi mbinu lakini hatuna uwezo wa kusema tunashinda game directly kwasababu Officials nao wanatuhujumu, mfano mechi ya Shelfield utd ile penalty incident ya Pepe.Ukiona Arsenal kacheza foul ndani ya box maamuzi huwa ni clear penalty, ila zile wanazochezewa wechezaji wetu zote huwa ni soft foul, sijui tuna balaa gani? unakumbuka goli la Sokratis na Crystal palace VAR ikagoma.View attachment 1330898
Ukitaka kujua marefa wa EPL hawatupend katafute mech kati ya Arsenal na man u ,ile man u wanaisimamisha rekodi ya 49 unbeaten run ,Nakubali 110%, mwanzoni nilidhani ni maoni tu, kuna hater mmoja anaitwa "Mike Dean", aise sijawahi ona referee anaeichukia timu ya Arsenal kama yeye..
Ukitaka kujua marefa wa EPL hawatupend katafute mech kati ya Arsenal na man u ,ile man u wanaisimamisha rekodi ya 49 unbeaten run ,
Tulipigwa viatu na kadi hazitoki, ilitakiwa 1st half man u awe amekula Red card hata 2 , Yule refa alipania tufungwe
Wenger alitoa maneno haya baada ya ile mechi
Arsène Wenger: “If I die, I am going to ask God where the referees are before choosing between heaven & hell.”
Arsenal have been told they must pay £4.2 million to finally secure a deal to sign PSG defender Layvin Kurzawa, according to The Telegraph.
The good news for the Gunners is that the Parisians are willing to let their player leave the club this month.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja Burney wakupapaseMNACHEKESHA VITOTO HIVI VYA £4, HATA SAMATA AMEVIZIDI BEI NDIO VIPAMBANE EPL?
NA KENGINE HAKO HAPO MNAANZA KUKAVIMBISHA KICHWA ILI JANUARY IPITE BILA USAJILI BAADAE (March-May) MUANZE TENA KULIALIA NA MABANGO YA "ARTETA OUT"View attachment 1331226
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kocha huangalia mambo mengi sana.Kweli jamaa kacheza vizuri sana baada ya lile boko!.. Nadhani huko mazoezini jamaa anacheza vizuri ndio maana kocha anamuanzisha mbele ya holding.
Sent using Jamii Forums mobile app