Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu ni muda sasa nadhani umefika tuanze kushinda mechi ili tujivute kupanda juu zaidi
Maoni yangu naona Auba akirudi uyu lacazete akakae tu benchi Martinel aendelee kukiwasha kushoto pale mbele akae Auba mwenyewe
Hivi cebalos wakuu ni kwamba hajamuimpress Arteta mazoezini au bado yuko majeruhi? kwa wataalam hawez kuchukua namba ya ozil pale?
 
Tatizo katoka Auba anaingia Luiz lockup

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hapa jamaa alituaga na kutuacha wenye timu yetu ,wenye roho ngumu tuendelee kuisapoti,
Ndipo utaelewa huyu ni mtu wa aina gani,kwani game aliiangalia ndotoni mpaka mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuwa nae mpaka FT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami najiuliza kwenye hiyo aya yako ya mwisho.
 
Naliangalia goli la martinel hapa ,kawatoa mbali wachezaji wa Chelsea ,

Nadhan Arteta soon atajaribu combination ya

Martinel Auba pepe ilikupata Pace
Ikikubali itakua ya Moto sana ila Pepe anapaswa kutulia na kuangalia jinsi uyu dogo Martinel anavyofanya mambo yake la sivyo ataendelea kua mtu wa vyenga na kufinya watu tu
 
Ikikubali itakua ya Moto sana ila Pepe anapaswa kutulia na kuangalia jinsi uyu dogo Martinel anavyofanya mambo yake la sivyo ataendelea kua mtu wa vyenga na kufinya watu tu
Pepe anatakiwa ajue sehemu ipi ni sahihi kufanya take ons na wapi pakutoa haraka pasi.

Arteta alisema atawarekebisha yeye na mwenzake Nelson
 
Arsenal told they must pay at least €5m for PSG defender Layvin Kurzawa. [@TeleFootball]
 
Pepe anatakiwa ajue sehemu ipi ni sahihi kufanya take ons na wapi pakutoa haraka pasi.

Arteta alisema atawarekebisha yeye na mwenzake Nelson
Yeah, Pepe bado kwenye maamuzi sio mzuri. Kuna sehemu za kuachia haraka anavuta, Ila still ni bonge la mchezaji.

Unawakumbuka akina Sterling na Sane walivyokuwa? Kocha mzuri muhimu sana kwa maendeleo ya mchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikikubali itakua ya Moto sana ila Pepe anapaswa kutulia na kuangalia jinsi uyu dogo Martinel anavyofanya mambo yake la sivyo ataendelea kua mtu wa vyenga na kufinya watu tu
Ukiacha ufundi, Martinell ana spirit sana ya kupambana, anarudi nyuma kukaba.Anapambania timu, tumekosa hii spirit kwa wachezaji wengi sana.

Ananikumbusha Enzi za akina Veira, Gilberto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

 
Sasa hivi ushindi wetu upo mikononi mwa officials pia,Hata kama mpinzani tumeshamzidi mbinu lakini hatuna uwezo wa kusema tunashinda game directly kwasababu Officials nao wanatuhujumu, mfano mechi ya Shelfield utd ile penalty incident ya Pepe.Ukiona Arsenal kacheza foul ndani ya box maamuzi huwa ni clear penalty, ila zile wanazochezewa wechezaji wetu zote huwa ni soft foul, sijui tuna balaa gani? unakumbuka goli la Sokratis na Crystal palace VAR ikagoma.
 
Hahaha unataka awe mzito sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…