Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta:

"We are not in a position to relax because we are not good enough to relax."
 
Arteta Ni Mnyamaa Aisee Arteta ni Mhuni Haswaa

Kipindi Cha Kwanza Hawa Watoto Walituletea Tabia Mbaya Sana Aisee Watoto Wametupress Wametushambulia Wametudominate Kila Kitu Thanks To Martinez

Kipindi Cha Pili Arteta Karud Mchezo Ukahamia Kwao Tukaanza Kuwa Press Man To Man Watoto Wametepweta Hao Hawavuki Katikati Xhaka Amewavuruga Kila Mahali Guendoz Kipindi cha Pili Nae Kaupiga Aisee Kama ni Kocha Tunaye

Leo Kilikuwa Kipimo Kizur Sana Marcelo Bielsa Mojawapo Ya Makocha Bora Sana Kimbinu Hata Guardiola Wakat Anasomea U ukocha Alienda Kuchukua Somo Kwa Jamaa

Leo Tumepata Kipimo Kizur Sana Ambacho Wengi Wangepata Huyu Bielsa Angewashinda

Ahsante Arteta Wewe sio Mnyonge na Unajua Kuusoma Mchezo kwa Ufasaha

Next Palace Away Nacho Ni Kipimo Kizur Sana Kwa Kocha Wetu
IMG_20200105_180428.jpeg
 
Guardiola anakwambia biesla ndo kocha bora zaidi duniani.... Leeds anaongoza championship kama kumbukumbu zangu zipo sawa anayemfuatia ni west brom ana GD ya 4...Yeye ana 24.....Japo tumecheza vibaya ila kwangu Leeds ni timu nzuri..
Wala hujakosea Huyo Marcelo Biesla anajua sana kuweka mpira chini


POOR PERFORMANCE IN THE FIRST HALF, BRAVO IN THE SECOND HALF

Mechi baada ya mechi matumaini yangu yanazidi kuongezeka kwa Mikel Arteta kutokana na aina ya uchezaji unaoonekana kwa sasa

Arteta sio mpole kama watu wanavyodhani ni mkali na anaonekana hataki mzaha kwenye kazi yake ,

Lacazette anasema walivyoenda mapumziko kawafokea sana kwanini hawachezi kwenye mfumo .

WAFUASI KWA KIBWETELE HAWAWEZI KUMUELEWA ARTETA

Ukiangalia aina ya uchezaji kwenye kipindi cha kwanza we was so bad but angalia kipindi cha pili tulivyokua tunawabonyeza kizenji

Arsenal inarudisha style yake ya uchezaji according to the performance ambayo tunaiona tunapiga pass na tunashambulia kwa kasi wallah pira hili tumekosa mndewa kama Samir Nasri nimemkumbuka sana leo

Marcelo Biesla ni kocha mkubwa and he knows, huyu ndo alomfanyia assessment pep Guardiola wakati anataka kuingia kwenye ukocha

Tangu Arteta awe coach mkuu wachezaji wengi wamebadilika , nilimsikia commentator anasema Arsenal fans walikua wanataka kuona passion na commitment ya wachezaji

Ukiangalia tulivyocheza kipindi cha kwanza na cha pili utaelewa nini naongea

Xhaka na Guendouzi hapa kuna tatizo hawana chemistry na anaemuharibia mwenzie ni Guendouzi, hajui kukaa kwenye position yake anataka awepo kila mpira unapoenda, anataka kila mpira auguse anaacha nafasi yake

Anakua kama kuku wanapofunguliwa bandani wote wanagombania mlango, Guendouzi he has to change la sivyo atamtaka ubaya Mikel

Nadhani aliambiwa hilo coz second half alituliza mchecheto alicheza mpira mwingi sana

Ozil he is a class nadhani mjadala tulishaumaliza, Luiz kama kawaida yake tushamalizana nae

I love the spirit of Sokratis Papa kuna kitu nimegundua , Strikers wanamuogopa sana jamaa mtemi halafu muigizaji anakuchezea rafu halafu anakuomba msamaha

Jamaa kama panya tu anan'gata na kupuliza

The Tank apewe mkataba Unai alitaka kumuuza huyu mtu daaah..!!

Kudos kwa Rob Holding alimfanya Luiz awe free, acheze atakavyo aende anapotaka nadhani ni wakati kuongezewa mkataba apewe miaka 5 zaidi .

Martinelli Mtu na Nusu dogo yupo aggressive sana , ana nidhamu he knows how to press and he knows how to score

We gonna make big deals kwa Gabriel Martinelli na Rob holding

Sijawahi kuumiza kichwa endapo ataumia Leno huwa nakuwa free coz Martinez huifanya kazi ile ile wote wakali bila Martinez furaha ingetoweka leo

Next stop to crystal Palace wanatusumbuaga sana hawa , Arteta nipigie wakina Zaha nizidi kukupa vyeo

KAULI YANGU NI HII

ARTETA IS OUR MAIN MAN, ARTETA IS OUR SAVIOUR, ARTETA IS GONNA MAKE BIG THINGS IN THIS GENERATION

TUENDELEE KULA MTORI NYAMA ZIPO CHINI
IMG_20200107_012745.jpeg
 
HATUTAKIWI TENA KUWA POYOYO MARA KWA MARA TULITAKIWA LEEDS UNITED KIPINDI CHA KWANZA KALA GOLI 2 AU 3 BILA HAYA MAMBO YA KUJARIBU MARA BAADAE TUNAIBUKA HAYAFAI HALAFU ARSENAL YA SASA INABIDI IWE INAMALIZA MPIRA MAPEMA SABABU HATUNA UWEZO WA KUCHEZA FULL 90 MIN MFANO DHIDI YA CHELSEA KIPINDI CHA PILI TUKAPOTEANA TUKAPIGWA DHIDI YA MAN U KIPINDI CHA PILI TUKAPOTEANA TENA LEO KIPINDI CHA KWANZA NI MARTINEZ NDO AMETUFANYA TUSHINDE HII SI PICHA NZURI KABISA LEEDS UNITED NAIFAHAMU SANA ILA WAKATI WA MZEE WENGER EMIRATES PALIKUWA NI MACHINJIO MAMBO KAMA HAYA KUZIDIWA HIVI KAMWE KAMWE USINGEYAONA

ARTETA KAMA ANATAKA KUTUNZA HESHIMA YAKE BASI HANA BUDI KUPIGIANA KELELE NA BODI KUHUSU KUPATA NEW PLAYERS KWA SASA

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea bila facts, sio kila timu ya championship ni uchochoro. Leeds ni timu nzuri, rejea 2012 walipocheza tena hadi Henry akafunga Kwa mbinde.

Tusiongee tu eti kwa vile tunacheza na championship team basi tuwaburuze, Leeds is a great team.

Kwanza give credit kwamba tumemaliza bila kuruhusu goli, despite pressure ilivyokuwa first half. Then it's our second win in a row, katika mechi nyingi. Angallia positives kabla hujaanza criticism, ni game ya tatu kwa jamaa, anafanya tactical changes kuisoma timu yake.
 
Unaongea bila facts, sio kila timu ya championship ni uchochoro. Leeds ni timu nzuri, rejea 2012 walipocheza tena hadi Henry akafunga Kwa mbinde.

Tusiongee tu eti kwa vile tunacheza na championship team basi tuwaburuze, Leeds is a great team.

Kwanza give credit kwamba tumemaliza bila kuruhusu goli, despite pressure ilivyokuwa first half. Then it's our second win in a row, katika mechi nyingi. Angallia positives kabla hujaanza criticism, ni game ya tatu kwa jamaa, anafanya tactical changes kuisoma timu yake.
Jamaa anawadharau Leeds tena wenye kocha Marcelo Biesla


Arteta anasema amewafatilia mech 3 akagundua sio wakuwadharau

Nimependa alivyowafokea mapumziko wachezaji ,


Lacazette on Arteta's inspirational half-time team talk:

"He shouted a lot! He was not happy because we knew they were going to play like this and we didn't respect what he said.

"The second half was better and thank you, Reiss, for the goal!" Goal on Twitter
 
Unajua nini mi kocha nimemuelewa... First half tulikuwa hohehohe.... Ameusoma mchezo na kipindi cha pili ndo kama ulivyoona.... Ila huu mfumo wa mabeki 3 sidhani kama unamfaa sana Arteta.... Tungekutana na timu kama City au Liver mechi ingeisha first half.
Tatizo hatuna mabeki...mfano RB wote wabovu kocha anaintroduce mfumo kutokana na wachezaji alionao.....ila huyu Nelson kwanini asipelekwe hata huko championship kwanza????jamaa kama hali vizuri yaani anadondoka hovyohovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio umeeleza vzr

Tumetumia back 3 sababu belle anaumwa

Beki namba 2 pekee ni Niles

Aliingia na back 3 ,wingback alikuwa kola na Nelson


Nelson sio wingback kiuhalisia ndio maana Leeds walitumia huo mwanya


But Nilijua 2nd half Arteta atafanya changes ,

Gunduz akapewa kaz ya kuchafua kati , nelson akapanda ,na wote wakatakiwa kuwa wanarud kukaba


Nadhan 2nd half umeona U tofauti


Mikel Arteta:

"I think we saw two different teams tonight [First half and second half]. When we changed our attitude and desire, we were a totally different team."
Huyu Nelson alikuwa anacheza wingback gani ile?mbona muda mwingi alikuwa upande ule wa kolasinac......huyu apelekwe hata Preston huko kwa mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongea bila facts, sio kila timu ya championship ni uchochoro. Leeds ni timu nzuri, rejea 2012 walipocheza tena hadi Henry akafunga Kwa mbinde.

Tusiongee tu eti kwa vile tunacheza na championship team basi tuwaburuze, Leeds is a great team.

Kwanza give credit kwamba tumemaliza bila kuruhusu goli, despite pressure ilivyokuwa first half. Then it's our second win in a row, katika mechi nyingi. Angallia positives kabla hujaanza criticism, ni game ya tatu kwa jamaa, anafanya tactical changes kuisoma timu yake.
Wewe kuwa na akili basi Arsenal ni timu kubwa EPL sawa kama tungekuwa tumezidiwa home kwa LEEDS UNITED hilo nisingekuwa na shaka nalo kabisa sababu kuwa home ni moja ya advantage kubwa ishu hapa ni kuzidiwa EMIRATES almost kila kitu tumezidiwa pass ball possession shorts yaani kila kitu tumezidiwa EMIRATES hyo ndo hoja yangu tena na timu ya CHAMPIONSHIP
Jana ni MARTINEZ ndo katuokoa bila yeye game ilishaisha 1st half tungepigwa hata 2 kwa bila hvyo next time hili lisitokee tena na tena hao LEEDS UNITED kila mara muda kama huu huwa wanaongoza ligi yao ikifika May wapo chini wanakuwa vibonde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hatuna mabeki...mfano RB wote wabovu kocha anaintroduce mfumo kutokana na wachezaji alionao.....ila huyu Nelson kwanini asipelekwe hata huko championship kwanza????jamaa kama hali vizuri yaani anadondoka hovyohovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nelson willock Saka Mustaphi Matteo Smith Mavro hawa wote hawatakiwi kuwa Arsenal kama tunataka makombe la sivyo tutaishia kusifia mechi ya siku tuliyoshinda kama jana na kufanya analysis ya mechi ikifika mwisho wa Msimu kabati linakuwa na mende wanatembea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Nelson alikuwa anacheza wingback gani ile?mbona muda mwingi alikuwa upande ule wa kolasinac......huyu apelekwe hata Preston huko kwa mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba nikukumbushe tu kuwa msimu uliopita 2018/19 Nelson alikua 1899 Hoffenheim ya ujerumani kwa mkopo. Alicheza mechi 23 na kufunga goli 7, kwa madogo tulionao ukiondoa Martineli huyu Nelson ana uhafadhali kidogo.

Ana mapungufu yake ila yanarekebishika, natumaini ata-improve sana chini ya Arteta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika madogo wapuuzi pale Arsenal nadhani huyu Nelson anaongoza. Angalau wengine wanaweza kubadilika huko mbeleni lakini huyu dogo, sijui!
Mkuu naomba nikukumbushe tu kuwa msimu uliopita 2018/19 Nelson alikua 1899 Hoffenheim ya ujerumani kwa mkopo. Alicheza mechi 23 na kufunga goli 7, kwa madogo tulionao ukiondoa Martineli huyu Nelson ana uhafadhali kidogo.

Ana mapungufu yake ila yanarekebishika, natumaini ata-improve sana chini ya Arteta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kuwa na akili basi Arsenal ni timu kubwa EPL sawa kama tungekuwa tumezidiwa home kwa LEEDS UNITED hilo nisingekuwa na shaka nalo kabisa sababu kuwa home ni moja ya advantage kubwa ishu hapa ni kuzidiwa EMIRATES almost kila kitu tumezidiwa pass ball possession shorts yaani kila kitu tumezidiwa EMIRATES hyo ndo hoja yangu tena na timu ya CHAMPIONSHIP
Jana ni MARTINEZ ndo katuokoa bila yeye game ilishaisha 1st half tungepigwa hata 2 kwa bila hvyo next time hili lisitokee tena na tena hao LEEDS UNITED kila mara muda kama huu huwa wanaongoza ligi yao ikifika May wapo chini wanakuwa vibonde

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo irrational katika uchambuzi wa mpira. Hata huangalii timu imepitia changamoto gani in the past two years, unachotaka ni waupige mwingi kwa sababu tu wanacheza na timu ya championship.

Lakini sawa mkuu, kila mtu na maoni yake.
 
Nelson willock Saka Mustaphi Matteo Smith Mavro hawa wote hawatakiwi kuwa Arsenal kama tunataka makombe la sivyo tutaishia kusifia mechi ya siku tuliyoshinda kama jana na kufanya analysis ya mechi ikifika mwisho wa Msimu kabati linakuwa na mende wanatembea

Sent using Jamii Forums mobile app
Ornstein : Arsenal are looking to shift upto 12 players on loan/permanent transfer moves.

Hao uliowataja wapo wote
 
Upo irrational katika uchambuzi wa mpira. Hata huangalii timu imepitia changamoto gani in the past two years, unachotaka ni waupige mwingi kwa sababu tu wanacheza na timu ya championship.

Lakini sawa mkuu, kila mtu na maoni yake.
Huyu bwana naangaliaga comment zake, ni wale watu wasiotaka kukubali uhalisia wa hali halisi ilivyo, yaani haangalii kabisa tumu ilipokuwa enzi za Emery na sasa Enzi za Arteta. Ameng'ang'ana wachezaji waliopo hawafai maana wana kiwango kidogo kwa hiuo anataka qualiry players. Sasa mimi najiuliza quality players tunawatoa wapi wakati hata kama tungekuwa na pesa nyingi hatuwezi sajili zaidi ya wachezaji wawili kutokana na financial fair play (nahisi hili halijui). Lakini pia hajawah hata kumpongeza kocha jwa kabumbu tunalosakata sasa mpaka tumeweza kupata clean sheet mbili.. Na sisi tunaojua arsenal enzi na enzi tunajya kabisa kiwa tunaenda kumkalisha palace game inayofuata!.. Jamaa analalamika kuwa tumeshambuliwa sana na timu ya championship, lakini hakumbuki kuwa hatuna right back na hivyo kocha akabadili mfumo ili kuendana na waxhezaji tulionao.. Waxhezaji tulionao mbona timy ilikuwa inaupiga mwingi tu enzi za enzi za wenger tena forwars akiwa Maroune Chamack!.. Ukweli ni kwamba tuna bahati tumepata kocha na atatutoa huko tulipo sasa. Baada ya mechi kumi tutakuwa tunaongea mengine!.. Huyu milango mitatu kazi yake ni kutudiscourage tu hapa kwa malalamiko yake yasioisha.. Yaani jamaa yupo kama mwanamke mwenye gubu ambaye haangalii mazuri uliyotenda!.. Watu wanamlaumu sana Nelson, lakini kwa madogo tulionao pale ni huyu ndio mwenye uzoefu mkubwa sana wa kucheza ligi kuu, msimu ulioisha alitupia goal saba mpaka tukaanza kuomba arudi home, sasa amerudi home watu wanalalamika, yaani wamesahau kuwa hawa wachezaji walikuwa wameharibiwa na Emery!.. Nakuhakikishia kama Emery angeendelea kuwepo hata Auba angeflop tu maana mipora ilikuwa haiensi mbele sasa angefungaje?. Hebu tazama beki yetu ilivyotulia sasa hata kama bado timu zinatushambulia! Zamani ilikuwa ukiona timu inashambulia kwenda langoni mwetu unakuwa unajua kabisa hilo linaenda kuwa bao.. TUMPE ARTETA HAKI YAKE SASA MAANA AMESABABISHA TUNAENDA KUANGALIA MPORA KWA CONFIDENCE NYINGI SANA!.. HAKIKA MUNGU AKUBALIKI SANA ARTETA KWA KUTUONDOLEA STRESS..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom