Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,483
Sehemu ya kiungo bado inahitaji watu wa kazi kazi. Hii partner ya Xhaka na Guanduz huwa siielewi.Kiukweli hii timu yetu inahitaji marekebisho makubwa ila kuna watu humu hawataki kusikia ukweli.
Nawakumbusha tu kuwa kwenye mechi 15 tumeshinda mechi 2 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku Lucas Torreira akiwa majeruhi basi timu itarudi kule kule enzi za Unai Emery tu