Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,364
- 1,475
Mods piga ban ya maisha hawa watu wanatoa lugha isiyofaa.
Mods piga ban ya maisha hawa watu wanatoa lugha isiyofaa.
Dinos will be sold soon, he is injury proneUmesema ukweli, lakini Hapana nakataa kuwa Arsenal imekosa mchezaji mzuri wa kufit nafasi hiyo kwa dirisha hili, its all about economizing, hii timu yetu naijua vizuri, hapo wamepiga hesabu kuna group of young players so wakimleta boateng kushirikiana na luiz watasaidia in short run then watakuwa wamesha add experience kwa hawa Young players, halafu mikataba yao ikiisha wawaache huru kufree wage bills, im sure Arsenal isiposajili beki mdogo january hii hata summer hawawezi sajili beki, sababu hata Saliba atakuwa amerudi, nakuhakikishia hilo.Hesabu za CB wanazopiga bodi kwa long term ni kuhusu Dinos,Saliba,Chambers,Holding basi.
Mods piga ban ya maisha hawa watu wanatoa lugha isiyofaa.
Kwa hiyo hiyo unaetukana watu hapa tena matusi ya nguoni wewe ndio unajielewa!... Hebu jaribu kuwa mstaarabu, kwa kutambua thamani ya utu wa binadamu mwenzako!. Yaani ushabiki tu wa mpira usababishe matusi makubwa hivi toka kwako!.. Hebu jifunzeni kuwa na tunu ya upendo na hakika tutabarikiwa sana... Karibu tujumuike pamoja katika Sabato takatifu ya leo!.. TUBARIKIWE SOTE HUMU NDANI
SHDA YA ARSENAL NI HII TETESI TETESI MWEZI UNAISHA KIMYA KINAPITA KAMA HATUTASAJILI WACHEZAJI MWEZI HUU NA TUKAENDELEA KUBAKI NA VITOTO HIVI BILA KUWAPELEKA KWA MKOPO BASI MASHABIKI HUKO ULAYA WAKIENDELEA KWENDA UWANJANI WATAKUWA WAPUMBAVU MAANA BODI WAO WANAKULA RAHA NA PESA ZA MASHABIKIARSENAL NA CHELSEA KATIAK BATTLE .YA KUMNASA BRUNO GUIMARES ....
..Mjue huyu Bruno Guimares Rodriguez Moura..... Mzaliwa wa Rio de Janeiro ......mwaka 1997 November miaka 22 Taifa Brazil.......
Maisha ya soka yameanzia CD Audax ....na baadae .kuhamia Atletico paranese .....2017 ....
.Bruno Guimares na matheus Henrique wamekuwa viungo bora ndani ya miaka 2 mfululizo ...... Namuona Ramsey katika sura ya kibrazil ni anacheza namba tofaut katika eneo LA kiungo..
ni central midfielder
ni central defensive midifilder
ni box to box Bruno
ni mzuri katika ball retention waliomuangalia iniesta vizuri wataelewa hiii sentensi .....
.ana good work ethic is atlethetic ....
.uwezo mzur wa kukaba .....
. Upigaji mzuri wa pass ....udambwi (you tube) ....
.anapatikana kwa 22m pauni pesa ya madafu .......
.. By Paparazzi From south AmericaView attachment 1311947
Dah kwa Cholo sijui kimempata nini huyu jamaa
Kwa hiyo hiyo unaetukana watu hapa tena matusi ya nguoni wewe ndio unajielewa!... Hebu jaribu kuwa mstaarabu, kwa kutambua thamani ya utu wa binadamu mwenzako!. Yaani ushabiki tu wa mpira usababishe matusi makubwa hivi toka kwako!.. Hebu jifunzeni kuwa na tunu ya upendo na hakika tutabarikiwa sana... Karibu tujumuike pamoja katika Sabato takatifu ya leo!.. TUBARIKIWE SOTE HUMU NDANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sijielewi.
Huyu hapaARSENAL NA CHELSEA KATIAK BATTLE .YA KUMNASA BRUNO GUIMARES ....
..Mjue huyu Bruno Guimares Rodriguez Moura..... Mzaliwa wa Rio de Janeiro ......mwaka 1997 November miaka 22 Taifa Brazil.......
Maisha ya soka yameanzia CD Audax ....na baadae .kuhamia Atletico paranese .....2017 ....
.Bruno Guimares na matheus Henrique wamekuwa viungo bora ndani ya miaka 2 mfululizo ...... Namuona Ramsey katika sura ya kibrazil ni anacheza namba tofaut katika eneo LA kiungo..
ni central midfielder
ni central defensive midifilder
ni box to box Bruno
ni mzuri katika ball retention waliomuangalia iniesta vizuri wataelewa hiii sentensi .....
.ana good work ethic is atlethetic ....
.uwezo mzur wa kukaba .....
. Upigaji mzuri wa pass ....udambwi (you tube) ....
.anapatikana kwa 22m pauni pesa ya madafu .......
.. By Paparazzi From south AmericaView attachment 1311947
Tatizo la hawa wachezaji wa Brazil wengi ligi ya Epl inawakataa sana, sijui ni mazingira au vp?
Haha kumbe hampendi kuitwa NYUMBU hahaha sasa tutaanza kukazia zaid maan sisi pia hatupendi kuona NYUMBU mkiwa na amani(amani yenu hugeuka kuwa kero kwa weekend moja tu sisi wengine sasa tukiwaachia mwezi je?)
Haha kumbe hampendi kuitwa NYUMBU hahaha sasa tutaanza kukazia zaid maan sisi pia hatupendi kuona NYUMBU mkiwa na amani(amani yenu hugeuka kuwa kero kwa weekend moja tu sisi wengine sasa tukiwaachia mwezi je?)
Sawa ww hata utukane, unamtukana unknown personal kichwani kwako hayo ni matumizi mabaya ya matusi
Sawa ww hata utukane, unamtukana unknown personal kichwani kwako hayo ni matumizi mabaya ya matusi
I aint give u a fck
Brazil wachezaji hawaishi, halafu ni vipaji sasa, yaani ukilegeza tu unakalishwa benchi.ARSENAL NA CHELSEA KATIAK BATTLE .YA KUMNASA BRUNO GUIMARES ....
..Mjue huyu Bruno Guimares Rodriguez Moura..... Mzaliwa wa Rio de Janeiro ......mwaka 1997 November miaka 22 Taifa Brazil.......
Maisha ya soka yameanzia CD Audax ....na baadae .kuhamia Atletico paranese .....2017 ....
.Bruno Guimares na matheus Henrique wamekuwa viungo bora ndani ya miaka 2 mfululizo ...... Namuona Ramsey katika sura ya kibrazil ni anacheza namba tofaut katika eneo LA kiungo..
ni central midfielder
ni central defensive midifilder
ni box to box Bruno
ni mzuri katika ball retention waliomuangalia iniesta vizuri wataelewa hiii sentensi .....
.ana good work ethic is atlethetic ....
.uwezo mzur wa kukaba .....
. Upigaji mzuri wa pass ....udambwi (you tube) ....
.anapatikana kwa 22m pauni pesa ya madafu .......
.. By Paparazzi From south AmericaView attachment 1311947
Safi sana kwa hekima na ushauri wakoKwa hiyo hiyo unaetukana watu hapa tena matusi ya nguoni wewe ndio unajielewa!... Hebu jaribu kuwa mstaarabu, kwa kutambua thamani ya utu wa binadamu mwenzako!. Yaani ushabiki tu wa mpira usababishe matusi makubwa hivi toka kwako!.. Hebu jifunzeni kuwa na tunu ya upendo na hakika tutabarikiwa sana... Karibu tujumuike pamoja katika Sabato takatifu ya leo!.. TUBARIKIWE SOTE HUMU NDANI
Sent using Jamii Forums mobile app


Mdau huyu jamaaa namkubali sana ila Muhindi alikuwa na chuki binafsi na jamaa.Lucas Torreira kapokonya mipira mingi ndani ya michezo 3 Tofaut na alivyofanya ndani ya michezo 10 akiwa na muhindiView attachment 1312184
Jamaa aliomba hadi January kuondoka arudi zake ItalyMdau huyu jamaaa namkubali sana ila Muhindi alikuwa na chuki binafsi na jamaa.



I'll never ever forget that