Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee kilichoniuma leo,hawa leo walikuwa washakubali, tulikuwa tunawala hata 3 mapema sana ila ndio hivyo ukiwa mzembe lazima uazibiwe,Hakuna haja ya kumlaumu kocha

Wakulaumiwa ni Willock tu,sijui lini atakuwa na hadhi ya kuvaa ile jezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atalaumiwa tu. Kuna makosa mengine ya kijinga.

Dakika ya 70, why dont you bring in fresh legs?? Umeng'ang'ania Nelson. Pepe yupo nje
Lakin mkuu umeona bao la pili lilipotokea? Pepe alipewa mpira ndani ya 18 akaanza kuupaka rangi badala ya kunyoosha alikua na nafasi kabisa ya kufunga ila ngoma ikageuzwa na goli likapatikana
 
Hapa umeweka ushabiki pembeni na kusema ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee hali yetu sio nzuri kimahesabu tunaweza maliza position mbaya kuliko misimu yote ya nyuma bila usajili wa kueleweka january,

Tumepata kocha mzuri naweza kusema hivo kwa game hizi mbili nilizoziona, ila tatizo hata wachezaji kujiamini kumepotea (***** Emery popote ulipo). Nadhani Ndidi na Upamecano ni lazima watue Emirates january hii tuokeke kwenye aibu hii ya huu msimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First half wachezaji walkua wanacheza kwa kujiamini mno timu ilitulia hadi raha ila kipindi Cha pili sijui nin kilitokea ila uelekeo walau unaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…