Lakin mkuu umeona bao la pili lilipotokea? Pepe alipewa mpira ndani ya 18 akaanza kuupaka rangi badala ya kunyoosha alikua na nafasi kabisa ya kufunga ila ngoma ikageuzwa na goli likapatikanaAtalaumiwa tu. Kuna makosa mengine ya kijinga.
Dakika ya 70, why dont you bring in fresh legs?? Umeng'ang'ania Nelson. Pepe yupo nje
Man United gari ndo limewaka..
Hahaha mukaliwa nyieWazee kilichoniuma leo,hawa leo walikuwa washakubali, tulikuwa tunawala hata 3 mapema sana ila ndio hivyo ukiwa mzembe lazima uazibiwe,Hakuna haja ya kumlaumu kocha
Wakulaumiwa ni Willock tu,sijui lini atakuwa na hadhi ya kuvaa ile jezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
jorginho huyu anayeshika jezi dk90 zote, si huruma ya refa ndio imembakiza kwenye mechi,Kovacic unamsifia afu kocha wako naye anakuumbua anampiga sub.Acha kujifariji wewe. Mmecheza tu kipindi cha kwanza kdg. Alivoingia Joginho aka Mtoto wa Sarri mmejuta. View attachment 1306659
Sent using Jamii Forums mobile app
Man United gari ndo limewaka..
Pogba PP karudi,nyie leteni masikhara mtacheza Europa
jorginho huyu anayeshika jezi dk90 zote, si huruma ya refa ndio imembakiza kwenye mechi,Kovacic unamsifia afu kocha wako naye anakuumbua anampiga sub.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia wew tutaftane timu ikikaa sawa uone moto
Leo tunahitaji point 3 kamili matokeo tofauti na point 3 leo na tarehe 1 tutakuwa katika relegation place Arsenal huwa tuna maneno mengi sana mara Arteta kocha mzuri ooh mara kiungo watabadilika hiyo yote ni kupoteza muda tu
Tunahitaji point 6 Leo na tarehe 1 kama hatutapata hizi point timu yetu na Watford au Norwich zitakuwa level 1 ila majina tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni swala la mda tu mambo yatatengemaa
Mlivokuwa mnasema timu yenu itashinda. Hamkuwaza kama timu yenu haijakaa sawa? Mawazo mgando haya.Tulia wew tutaftane timu ikikaa sawa uone moto
Kwani wew Chelsea hua haifungwi au?Mlivokuwa mnasema timu yenu itashinda. Hamkuwaza kama timu yenu haijakaa sawa? Mawazo mgando haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nimtag Aaron ArsenalMkuu Aaron arsenal hebu pita pande hii utoe analysis tafadhal
Ushabiki tambo mzee baba.... Kwan we ulivyotamba ulijua utashinda 100%..Mlivokuwa mnasema timu yenu itashinda. Hamkuwaza kama timu yenu haijakaa sawa? Mawazo mgando haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
First half wachezaji walkua wanacheza kwa kujiamini mno timu ilitulia hadi raha ila kipindi Cha pili sijui nin kilitokea ila uelekeo walau unaonekanaWazee hali yetu sio nzuri kimahesabu tunaweza maliza position mbaya kuliko misimu yote ya nyuma bila usajili wa kueleweka january,
Tumepata kocha mzuri naweza kusema hivo kwa game hizi mbili nilizoziona, ila tatizo hata wachezaji kujiamini kumepotea (***** Emery popote ulipo). Nadhani Ndidi na Upamecano ni lazima watue Emirates january hii tuokeke kwenye aibu hii ya huu msimu.
Sent using Jamii Forums mobile app