Denilson nadhani ni more defensive mildfield zaidi kuliko offensive ndio maana unaweza kuwa humuoni lakini yumo mkuu.
Ni sawa mkuu lakini kwenye mechi kama hii Jack Wilshere angefaa kwani yeye ni attacking midfielder kungekuwa na magoli at least matatu mpaka sasa.
1-1 draw today! Thank you!!
I told you lot.
I see that way son! my bet!Sure SIR...U told me.....But isn't OVER yet..... Do u see t tht way??????
maisha magumu emirates nomaaa.
Haya sasa, S. Donetsk 0-1 Braga.