This is bad now Clichy hayupo benchi
Arsene, Questt, RayB, Mtazamaji tuko pamoja wakuu, kila la heri.
Kwa kuwa Braga "have nothing to loose"wanaonekana hawajali hata wakitoka sare. Arsenal lazima wafunge goli la kwanza.
Mpaka sasa Denilson haonekani kufanya chochote na Gibbs anatoka ametoneshwa mguu wake wa kushoto na Ebue anaingia.
Robin Van Persie anafunga goli lake la kwanza msimu huu baada ya kukaa sana "bench".
Kwa kuwa Braga "have nothing to loose"wanaonekana hawajali hata wakitoka sare. Arsenal lazima wafunge goli la kwanza.
Mpaka sasa Denilson haonekani kufanya chochote na Gibbs anatoka ametoneshwa mguu wake wa kushoto na Ebue anaingia.
Denilson nadhani ni more defensive mildfield zaidi kuliko offensive ndio maana unaweza kuwa humuoni lakini yumo mkuu.