SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Mpira bana. Eti United kamtwangwa tena EtihadHawa jamaa hasira za kufungwa na Man Uniyes wanamalizia huku, sio poa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira bana. Eti United kamtwangwa tena EtihadHawa jamaa hasira za kufungwa na Man Uniyes wanamalizia huku, sio poa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki saa nyingine mkosea kujua aina ya timu za kushabikia, shabiki wa Arsenal unapaswa kuwa na afya njema na bila stress kwa sababu Arsenal haiko kwenye ramani ya kuchukua kombe wala kushuka daraja.Siku mkicheza na City nitaungana na ninyi.
relax
Namshukuru Guardiola kwa kutuonea huruma 3 ni afadhali hapa tuna mechi 4 zinazofuatia Everton Bournemouth (Away)halafu Chelsea na Manchester United (home)I don’t understand what those stupid Americans are thinking seeing this below average team
Hakuna kocha bado Arsenal inahitaji kocha sio kocha wa majaribio na awe na experience kubwa kwa sasa tuna mtu wa kusimamia mazoezi tu na huyo kocha akija apewe fungu la maana Arsenal ina wachezaji 4 tu first eleven basi wengine hata Norwich na Watford hawapati nambaKuna wakati jamaa walikuwa wanajipa moyo kwamba timu yao ina wachezaji wa maana ila tatizo ni kocha, Unai
Sasa kisingizio sijui kitakuwa nini sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mchezo flani wa mpira uko brazil. Mpira unachezwa kwenye uzio (cage) halafu una vigoli vidogo. PEPE kwa uchezaji wake anatakiwa anakacheze huo mchezo wa show off.
Sent using Jamii Forums mobile app
Martinelli changed the tempoView attachment 1290202






