Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Shirikisha ubongo zaidi jibu lipo tuItakua aibu tutakapogundua tatizo siyo kocha.
Afadhali ngoja nianze wiki hii kuangalia upya mechi za Arsenal maana nilishasusa,kila nikitoka kibanda umiza nimenuna.Kwanza jina lake lenyewe lilikuwa linanipa shida hata kulitamka...
Yeah, maana alikuwa hana jipya tenaAfadhali ngoja nianze wiki hii kuangalia upya mechi za Arsenal maana nilishasusa,kila nikitoka kibanda umiza nimenuna.Kwanza jina lake lenyewe lilikuwa linanipa shida hata kulitamka...
hivi freddie akiwalidhisha arsenal fans na matokeo mazuri si ndio anaweza akawa a complete arsenal manager kama yalio mtokea manyumbu...?!Tunaelewa Freddie sio kocha wa kiwango cha juu, lkn mwamba ana DNA ya Arsenal, bila shaka atapata msaada wa kutosha kwa mashabiki na wachezaj pia. Jambo la msingi ni Unai kusepa, hapa weekend imekua nzur sana
Tulikua tunafungwa siyo kwavile Ozil hachezi. Ozil tangu enzi za Wenger hajawahi kua form mfululizo.
Atashine mechi mbili atapotezana tatu au kinyume chake au akaflop zote tano.
So wanaodhani kocha ajaye atahakikisha ushindi kwa kumpa namba Ozil ni wanakosea.
Ndio umeongea nini mkuu????kwani nani anayesema kuwa tunafungwa kwasababu ya Mesut kukaa bench????Tulikua tunafungwa siyo kwavile Ozil hachezi. Ozil tangu enzi za Wenger hajawahi kua form mfululizo.
Atashine mechi mbili atapotezana tatu au kinyume chake au akaflop zote tano.
So wanaodhani kocha ajaye atahakikisha ushindi kwa kumpa namba Ozil ni wanakosea.
Sahihi kabisaDuh tambua klabu kubwa ni mwiko kustruggle kwa middle table teams ,
Hivo mm sion tatizo kwa Nuno although ana tactic na formation zake zinazomtambulisha
Rege rege = Lege legeUnai kaonewa wachezaji ndo rege rege
Naenda London kwa mguuImagine VAR itumike halafu waseme si Unai ni Ole ndo kafukuzwa
Wewe muda mwingine huwa unaandikaga vitu vizuri sana,ni shabiki pekee wa chelsea aliye mwerevu japo kidogoHivi kati ya Arsenal na Man u ni timu ipi ina wachezaji bora kwa sasa?
Nadhani Arsenal inapoelekea itakuwa kama man u, kununua wachezaji wenye gharama ambao hawana mchango wowote.
Kukwepa huo mtego Plan B ni kumchukua pochetino wenye uwezo wa kujenga timu kutumia wachezaji wa Academy ila sharti lazima muwe wavumilivu.
huyu atawafaa kabisaMoyes on the wheelView attachment 1276120
Hii taarifa nimeipokea kama leo ndio tumebeba Ligi kuu......hahahahahaaGENGE LA UNAI ALILOFUKUZWA NALO
Five members of staff that arrived with Unai Emery will leave Arsenal with him today.
Juan Carlos Carcedo (assistant-coach)
Pablo Villanueva (first-team coach)
Javi Garcia (goalkeeper coach)
Julen Masach (strength & conditioning coach)
Victor Manas (analyst) View attachment 1276076
Imagine VAR itumike halafu waseme si Unai ni Ole ndo kafukuzwa
Na popoma amuelewekagi nyie cheki mnavyofarijiana hapa ,lampard baba lao ,ole mama lao ljumberg Dada yaoNaenda London kwa mguu