Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Wapenzi wa Arsenal inabidi mfungue bima ya heart attack..bwe he he he..nways hongereni kwa kupasha joto kiti kwa sekunde chache
Blackburn rovers wanaweza kumpa draw man united leo.
tusiposishinda leo basi tena kocha wangusalam wakuu,tuko pamoja ushindi muhimu leo.
Hee kumbe mmeshinda leo?.....asa wajameni, kwanza hongera, afu poli pongezi kwa AW, Gena na Kweli, kiu-KWELI mna moyo ila kuna huyu mdudu anaye eneza Malaria kwa kasi sana, alikuwa na moyo kama nyie, ila sijui siku hzi yu wapi, nna wasiwasi na nyie vis a vis timu yenu inakoelekea..Lol!
Hongera Arsenal kwa ushindi wa jana, Jitahidini mchukue ubingwa msimu huu isiwe kila siku mnaishia nusura nusura tu.