Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

It Looks like offside but it Counts...CAMARA.....1-1................So bad..
 
Uwanja wa ugenini huenda matokeo yakawa yaleyale
 
These guys can catch us on offside.....Kamara is so alone.......... Furthermore updates Chelsea 1 on Penalty DROGBA..........
 
KAMARA katukosa tena...Defenders thought its an offside................
 
Wachezaji wetu wanapenda sana kufanya maisha yao magumu.Chances tumepoteza kibao sasa matokeo yake ndio haya na tukifanya mchezo tutatoka patupu.


Emirates maisha yanazidi kuwa magumu.
 
Wachezaji wetu wanapenda sana kufanya maisha yao magumu.Chances tumepoteza kibao sasa matokeo yake ndio haya na tukifanya mchezo tutatoka patupu.


Emirates maisha yanazidi kuwa magumu.

Tofauti kabisa na msimu uliopita......Home tulifanya better than Away...................hata hivyo bado Rosicky hajaweza kugawa vema mapande ya magoli...........
 
Tofauti kabisa na msimu uliopita......Home tulifanya better than Away...................hata hivyo bado Rosicky hajaweza kugawa vema mapande ya magoli...........

Rosicky aende bench Walcott aje labda atasaidia kwa mbio zake.
 
45 Minutes za mwisho hizi..........Mungu ijaalie Arsenal ijaalie furaha Yangu...........
 
Wanasema jirani muombee njaa, lakini mimi nawaombea shibe. Jirani kazaneni msipoteze na mechi hii, hii yenu kabisa.
 
Back
Top Bottom