

.Leo hii eti kudraw na palace au na wolves tumejitahidi.
Shida nini mkuu kuleta hizo Quote , ?
Huyu kocha ni wa ovyo sijapata kuona toka nizaliweKuna siku Emery anahojiwa anasema game mbili za Wolves na palace tulizo draw msimu huu hapo Emirates na kupata point 2 eti tumejitahidi, kwa sababu msimu uliopita tulipata point moja hapo emirates. Aisee nilicheka nikasema kweli kocha tunaye.Leo hii eti kudraw na palace au na wolves tumejitahidi.

View attachment 1272734
Tuwe na iman na kocha kama uko nyuma
Unazingua mkuu,
Pepe hana tatizo, kama wachezaji wanalalamika hakuna mfumo sahihi wa timu ,
Sasa pepe ata shain vipi, kocha kafeli kutengeneza midfielder ya kuwalisha kule mbele
Pepe alirudi vzr tu kwenye form , baada ya kufunga magoli mawili , cha ajabu akapigwa bench karibu mech 3 , sasa mchezaji ata improve lini ?
Kama alivyoamua Pulisic juziMbali na mfumo pia mchezaji anatakiwa aonyeshe kiwango/uwezo wake binafsi, aamue matokeo ya match.
Naona wameshawishika na mwendelezo wa Gaby MartinelliHii timu ni bora tujaze wabrazil tu watatusaidia![]()
Hahahahahahaaa dah umenifanya nicheke sanaKuna siku Emery anahojiwa anasema game mbili za Wolves na palace tulizo draw msimu huu hapo Emirates na kupata point 2 eti tumejitahidi, kwa sababu msimu uliopita tulipata point moja hapo emirates. Aisee nilicheka nikasema kweli kocha tunaye.Leo hii eti kudraw na palace au na wolves tumejitahidi.