Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uongozi wa Arsenal hauna budi kujitafakari kwa kina kabla ya kumtimua ndugu Unai Emery na ikiwezekana wampe muda zaidi kuweza kukiimarisha kikosi cha Arsenal ambacho kwa sasa kinaonekana dhaifu na si kidogo hususani katika idara ya ulinzi.
 
KUTOKA CHANZO CHA KUAMINIKA ,

KAVEH , REPORTER WA SKY SPORT

Mikel Arteta now favourite to become Arsenal manager. Chief exec Ivan Gazidis wants new manager to:
1. Keep playing progressive football.
2. Embody & reflect the values of the club.
3. Take keen interest in developing young players.
Arteta ticks all those boxes.
Sidhani kama litakuwa ni chaguo sahihi.
 
Mkuu unajua historia ya Arsenane. Wenger alikaa hapo miaka 15 bila kikombe na hakukuwa na mtu wa kumgusa. Actually kufukuza kocha ni gharama kubwa kumlipa kwa kuvunja mkataba na kuajiri kocha mwingine "wa maana" ni gharama kubwa ambayo timu ndogo kama Arsenane hawataweza, anayeiweza hayo ni United na Chelsea. Unai ana miaka mingine kama mitano hapo.
Matokeo vp huko nyumbu?
 
Aiseeeh
73155734_146198790015668_8814587675187807247_n.jpeg
 
Arsenal owner Stan Kroenke is now reluctantly coming around to the idea that he will have to find a new manager sooner rather than later. [Mark Irwin] #afc
Arsenal are set to contact Mikel Arteta and Eddie Howe. Unai Emery is on his very, very last legs. Raul Sanllehi has fought his corner in recent weeks, but is losing patience. The rest of the hierarchy want him gone immediately - and have since the loss to Sheffield Utd. #AFC
Sanllehi’s position is that he doesn’t want Arsenal to become a sacking club, who after a few seasons have a mish mash squad of signings made by several managers - just like what has happened at Man Utd. They had a clear plan and he wanted to stick to it and give Emery time.
 
Bodi imechafukwa

Most of members wanataka unai afukuzwe

Kuna wawili wanamkingia kifua

Nadhani siku zinahesabika
 
The problem is the coach,’

A source told The Telegraph. ‘He still makes bad decisions and changes his tactics. There is no identity to the team and the players do not see any progress. ‘The recent performances and results have had a big impact on the belief of the squad. Does anybody still think they can qualify for the Champions League under the coach? I don’t think so.’



IMG_20191124_000813.jpeg
 
Kwa leo nimeona baadhi ya magazeti kama Mirror, Mail, Times na Independent yote yameandika habari inayo fanana kuhusu Unai Emery.
Yameandika Unai kabakiza mechi 3 tu huku wakiwataja Arteta na Allegri.
Kimsingi haya magazeti sijachukuliagi 100% tusubiri kesho sasa na akina Telegraph, The Athletic na Guardian tupate Ukweli wa mambo.
#coyg
 
Mwenyekiti wa klabu ya Arsenal Sir Chips Keswick anafikiria kujiuzulu nafasi yake kutokana na kuwepo kwa malalamiko ya mashabiki juu ya nafasi yake lawama ambazo anaziona sio sawa kwake kutokana na jukumu la kutoa maamuzi liko juu ya uongozi wa timu ambao uko chini ya Raul Sanllehi.

#coyg
 
Kwa leo nimeona baadhi ya magazeti kama Mirror, Mail, Times na Independent yote yameandika habari inayo fanana kuhusu Unai Emery.
Yameandika Unai kabakiza mechi 3 tu huku wakiwataja Arteta na Allegri.
Kimsingi haya magazeti sijachukuliagi 100% tusubiri kesho sasa na akina Telegraph, The Athletic na Guardian tupate Ukweli wa mambo.
#coyg
Hapo mtapiga frankfurt,Norwich ,mtapata drop na Brighton Emery at the wheel .Tatu hizi
 
Back
Top Bottom