


Wala msihofu jamani..mpira ukiisha Edu atabaki na mashabiki uwanjani nusu saa yote![]()
HahahahahahahahahhahahahahahahahahLeo Ozil kacheza?, Laca je? Vipi kuhusu kipepe, je beki namba 3 bora Tierney alikuwepo?
Hivi hawa Sotton ndio walipigwa kwao goli 9-0?
Timsubiri Edu aseme neno![]()