Naunga mkono hoja kwa moyo mweupeNamtakia Unai maisha mema yenye Baraka ndani ya Arsenali,Wenger alipewa miaka 20 akavuna EPL 3 huyu apewe 20 atavuna tu kwani kaua kicheche mpaka apate mkosi wa kuchukiwa hivyo misimu miwili tu?Apewe mda mashabiki wenzangu Arsenali tuendelee na uvumilivu tulivumilia kwa Wenger Unai ni nani tumvumilie.Nawatakia vipigo na vidroo vyema.
Unai Emery hajawahi kuwa kocha, labda kuanzia sasa akifukuzwa Arsenal anaweza akawa kocha mzuri, atakuwa kajifunza mengi sana kuhusu ukocha unataka nini ,Asante sana EPL inawafunza wengi mpira.
kaimanage Psg kwenye ligi ya mbuzi na ina wachezaji wengi wazuri wa level ya kidunia huku opponents wake ni Dijon,Metz,Nantes ... na yeye eti akajiita kocha, kumbe kichwani mweupe kuliko Mwinyi Zahera.
Asernal hamna hela ya kumlipa kocha baada ya kuvunja mkataba,huo ndiyo ukweli wenyewe,nakwataarifa yenu huyo mhindi hatoki hadi mkataba wake uishe.Km gem ijayo baada ya break unai bado atakuwa kocha basi nitaamini hata ulaya uchawi upo
Anapigania toptenAfter all kwani Arsenal inapigania nini kwenye EPL?
Nakazia Carlo Anceloti naye ni kocha mwenye CV kubwa sana kwa kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE 3 kwa nchi mbili tofauti na vya ligi kuu vya nchi mbali mbali lakini alipokuja EPL chini ya CHELSEA FC, aliboronga sana hadi akatimkia Real Madrid FC.Ana EUROPA LEAGUE tatu tena back to back moja akamzibua Klopp mpaka yule mjerumani akalia kama mtoto mdogo.
Ametwaa League one unapata wapi ujasiri wa kusema hajawahi kuwa kocha ?
Epl ni league ngumu sana kuliko league zote ndiyo maana makocha wengi wenye profile kubwa tu huwa wanasanda.
Arsene Wenger
Raul Sanchez
Rafael Benitez
Juan De Ramos
Luis Felipe Scolari
Luis Van Gaal
Gerald Houllier
Gus Hidink
Sven Goran Erikson
Orodha ni ndefu sana msimuonee Unai Emery kwa udhaifu wa mentality ya club yenu.
Asernal hamna hela ya kumlipa kocha baada ya kuvunja mkataba,huo ndiyo ukweli wenyewe,nakwataarifa yenu huyo mhindi hatoki hadi mkataba wake uishe.
Daaaah...huu sasa ni utani wa ngumi youSasa ARSENAL akija luiz Enrique bila Messi, Suarez atapata matokeo kweli?
Kwani hiyo barcelona mbona ina messi na suarez na bado haipati matokeo?!!!Sasa ARSENAL akija luiz Enrique bila Messi, Suarez atapata matokeo kweli?
Anapigania topten
Sasa ARSENAL akija luiz Enrique bila Messi, Suarez atapata matokeo kweli?
Nakazia Carlo Anceloti naye ni kocha mwenye CV kubwa sana kwa kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE 3 kwa nchi mbili tofauti na vya ligi kuu vya nchi mbali mbali lakini alipokuja EPL chini ya CHELSEA FC, aliboronga sana hadi akatimkia Real Madrid FC.
Kwanza Emery anajitahidi sana kwa squad yao
Kwanza sisi mashabiki wa team nyingine tunampenda Unai hana tatizo kabisa ,watu walilialia Ozil acheze akamchezesha wakafungwa kabisa ,mashabiki wa arsenal wanampa wakati mgumu kocha bora kabisa Europa 3,ligue 1 kibao ....Kwanza Emery anajitahidi sana kwa squad yao
Hujui unachokisimamia.Ana EUROPA LEAGUE tatu tena back to back moja akamzibua Klopp mpaka yule mjerumani akalia kama mtoto mdogo.
Ametwaa League one unapata wapi ujasiri wa kusema hajawahi kuwa kocha ?
Epl ni league ngumu sana kuliko league zote ndiyo maana makocha wengi wenye profile kubwa tu huwa wanasanda.
Arsene Wenger
Raul Sanchez
Rafael Benitez
Juan De Ramos
Luis Felipe Scolari
Luis Van Gaal
Gerald Houllier
Gus Hidink
Sven Goran Erikson
Orodha ni ndefu sana msimuonee Unai Emery kwa udhaifu wa mentality ya club yenu.
Si ndio hapo mkuu,sisi timu yetu tunaijua vizuri, tumeshacheza na wachezaji wa ovyoo, mtu kama Frimpong na wengine wengi lakini mpira ulionekana, eti leo tuna Ceballos,ozil,Xhaka bado kupiga pasi kumi tu inakuwa kazi.Kwa taarifa yako yule mzee kashindwa kupanga kikosi
Ukilinganisha na misimu miwili nyuma au mitatu kwa sasa arsenal ina kikosi kizuri sana
Tena ina kikosi cha ushindani shinda ni technical za mwalimu
Kingine ukiachana na liverpool na man city hakuna timu nyingine yenye forward kama arsenal.
I second this. Tuna wachezaji wazuri sana ukilinganisha na wakati wa Wenger, lakini ndio hamna kitu.Kwa taarifa yako yule mzee kashindwa kupanga kikosi
Ukilinganisha na misimu miwili nyuma au mitatu kwa sasa arsenal ina kikosi kizuri sana
Tena ina kikosi cha ushindani shinda ni technical za mwalimu
Kingine ukiachana na liverpool na man city hakuna timu nyingine yenye forward kama arsenal.