Ngoja tuendelee kupata haya matokeo naapa Mimi Mungu yupo game ya Leicester city hatutashinda hatutashinda kama kocha atakuwa ni Unai naapa hatutashinda
Hii statement nliitoa jmosi na bado narudia tutarudi na matusi makubwa humu Jumamosi huyu alitakiwa akitoka ureno anarudi spain direct na sio London