Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

#AFC BREAKING | Unai Emery confirms Aubameyang is now permanent Club Captain.
IMG-20191105-WA0012.jpeg
 
WACHEZAJI WA ARSENAL WACHOSHWA NA MBINU ZA !

- Inadaiwa Kocha Unai Emery anajaribu kuokoa kazi yake huku Wachezaji wakiwa na wasiwasi juu ya mbinu za Kocha huyo

- Inadaiwa Wachezaji hawaridhishwi na mbinu za Kocha huyo na kudai hataki kubadilika

IMG_20191102_204558.jpeg
 
TUTARAJIE BIFU JIPYA KATI YA TIERNY NA UNAI EMERY?

Wakati Unai Emery anapiga kelele Arsenal walivyokuwa wanashambuliwa dhidi ya Wolves Jumamos

Tierney alimwambia Emery " calm down chill and relax"

hazikupta sekunde 30

Tierney akaitwa kwenye mbao hiyo ndio sababu ya Tierney kutolewa dk ya 87 nakuingia Kolasinac

UNAI OUT
IMG_20191025_142149.jpeg
 
KUTOKA KWA CHIEF FOOTBALL WA GAZETI LA TIMES

XHAKA ANAONDOKA JANUARY

Granit Xhaka, stripped of the captaincy, will surely leave #afc in January. Xhaka needs games not only because he loves playing, but also because he knows he has to stay fit for the Euros. He's genuinely hurt at having to give up the armband. Right decision by Emery though.
Screenshot_2019-11-05-23-18-17.jpeg
 
kuna taarifa ya Saliba wakuu nimeskia Madrid wameanza kumscout huyo dogo.Hata hajacheza Arsenal jamani wanataka waunge juu kwa juu.
 
Arsenal could look to offload Granit Xhaka in January after manager Unai Emery refused to say if he will ever play for the club again. [@MirrorFootball]
 
kuna taarifa ya Saliba wakuu nimeskia Madrid wameanza kumscout huyo dogo.Hata hajacheza Arsenal jamani wanataka waunge juu kwa juu.
Mtihani huu maana itatuletea shida kumnunua Ceballos jumla


Zidane anamtaka Saliba wakati hata hatujamtumia
 
Arsenal will consider recalling Mohamed Elneny in January to replace Granit Xhaka. [@NicoSchira]
 
RB SALZBURG have stuck a £86million price tag on goal machine Erling Braut Haaland, Italian reports claim.

The 19-year-old striker has netted an incredible 22 goals 16 appearances this season in Austria.
 
Back
Top Bottom