Xhaha yuko sawa, namuunga mkono, kwann mashabiki wasipige kelele zao kwa Unai na wanamalizia hasira zao kwa Xhaha, imefika wakati mashabiki wa Arsenal wawe na adabu, walianza kumchukia Ozil bila ya sababu sasaivi wanamuona kama lulu, tatizo sio Xhaha tatizo la Arsenal kwa sasa ni mbwa Unai, huyu mzee kaja kutuharibia timu yetu, kama uongozi hawajaliona hilo basi kuna mpango wa kukaribia kushuka daraja