Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila mkuu mchepuko uliokuficha na umekuachia leo ni hatari kwa afya kuanzia game ya Sheffield na ya Juzi jamaa anaperform vizuri so kuna mwanga upo. Walioshikishwa ukuta ni Madrid kwa Hazard.
Unazinguaa


Piga mbuzi hao...
 
Hawa walalamikaji kitambo. Ozil ni mvivu wa mazoezi toka akiwa Madrid na huyu kocha anaonekana anapenda wachezaji wanaojituma mazoezini kama Lampard. Kama kocha lazima asimamie misimazo yake ukizembea hakuna kuanza sasa hutu tu fanboys tunapiga piga kelele tu utafikiri wemyewe ndio wanashinda na wachezaji.

Arsenal mbovu wasijitetee kocha hawa
 
Ngoja niingie Anfield nkacheki Mechi timu yangu ya Arsenal haitabiriki lolote linaweza kutokea kwa timu yangu ila naomba 3 points tupate maana tukikosa hapatatosha kabisa kuna mtu atasombwa na maji
 
Hata mimi naona pia Trio ya Xhaka/Ceballos/Guendouz haijaclick kwenye timu. Hawana muunganiko mzuri kwenye kuanzisha mashambulizi. Lt11 ni namba 6 yetu sahihi.

Tatizo Emery sijui kama anajua tactics zake kama zinafanya kazi. Jamaa ni mbishi kubadilika sana.
 
Na twenyewe tuna akili za kitoto
 
Hii mechi imaweza ikawa kama ile ya Watford,sasa subirini sub zake kipindi cha pili.
 
Tumezidiwa ball possession tumezidiwa pass zilizopigwa pass accuracy tumezidiwa na hapo ni Emirates ku****ko aisee balaa hili
 
Jamani mi natumia cable game yetu inaonyeshwa kwenye channel ya intanet na net ipo slow so insteade naangalia gemu ya Man na Liva kizam zam jamani tunachezaje
 
Siku zote Zaha amekuwa akiwa hadaa marefa kupata penati na anafanikuwa kujiangusha eneo la hatari.
Hii ni mara ya pili.
Siku zote anayeamua kuhusu VAR ni mtu anayeseti tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…