Arsenal (The Gunners) | Special Thread

OZIL AMEAHIDI KUBAKI ARSENAL HADI 2021 MAANA EMERY HAWEZI KUFIKA HUKO KABLA HAJAFUKUZWA

Taarifa kutoka Jarida la Bleacher linasema Pamoja na Emery kutompa nafasi Ozil hataomba kuondoka Arsenal au kufosi aondoke , Japo Klabu za Marekani zinamuhitaji.

BADO IMANI YANGU INANIAMBIA EMERY ATAONDOKA YEYE NA KUMUACHA OZIL , KWA MWENENDO WA TIMU EMERY HAFIKI POPOTE , HIVO NILISHASEMA KATIKA POST ZANGU HUKO NYUMA ......EMERY ATAMUACHA OZIL KAMA ALIVYOMKUTA

For more

Mesut Ozil 'willing to stay until Arsenal sack Emery'
Mesut Ozil has been frozen out of the Arsenal team, but is reportedly unwilling to hand in a transfer request.

Bleacher Report state that the German star’s advisors are attempting to steer him towards an MLS move in January, with LA Galaxy a possible destination should Zlatan Ibrahimovic leave the club in the New Year.

But Ozil enjoys playing for Arsenal and is said to be reluctant to submit a transfer request.

The midfielder is said to be willing to stay at Arsenal until the club sack Unai Emery, with pressure building on the manager and Ozil’s contract running until 2021.
 
Rodgers alikaa liverpool vizuri tu....
 
Kuna watu nimeamini hawamjui vzr emery

Hebu mfatilien kuanzia Valencia,Moscow ,sevilla , PSG ndio mtajua ni kocha wa aina gan

Hata alikopita wote wanasema huyo jamaa ni kilaza sana
Sijui watu wanaomtetea Emery wanapataga wazo hilo wakiwa wapi yani?????daaaahhhh

Emery hamna kitu na hatusemi hivi kisa Rodgers kushinda hizo goli 9 hapana ....Rodgers ni bora sana tena sana kuliko huyu Emery
 
Hahaha Madrid walifunzwa kukaba enzi zake. Inter ndiyo wakachukua kombe na ukabaji juu, haitakua tofauti akija Arsenal. Man U yenyewe ilikaba mpaka basi.
Wewe hutaki makombe?
 
Arsenal is a good team, currently with super players, I think they've just been unlucky, but you cannot underrate them. They have a coach, you cannot ask me if I can take the job that is being done by someone else,I'm special. But I cannot say no, I love football."

- Jose Mourinho

Do you agree with Mourinho
 
Nilikuwa namkubali sana Emery ila baada ya kufungwa final Europa nkaanza kupata shaka na baada ya game dhidi ya Watford kutupigia mashuti 31 nkasema enough is enough hapa tuna msimamizi wa mazoezi na sio kocha wa kumtegemea kabisa
 
THE BIGGEST ARSENAL PROBLEM ISN'T PLAYERS..... OBVIOUSLY IT'S THIS EMERY........BELIEVE IT OR NOT.
 
nimesoma sehem aise, Ian wright kamwaga nyongo live aise kasema bora emery asepe tu
 
huyu naskia amenza mazungumzo na real madrid, kureplace zizuu.

ila huyu kuchukua arsenal, mimi hapana kwa mpira wa siku mbili tatu afu timu chaliii, hapana mazee.
 
Kuna goli amefunga Pulisic litafuteni YouTube. Naamini litawaondolea stress
Goli 2 unakuja kutupigia kelele,ngoja tuone kama atamaliza hata na goli 5
Aendelee hivo hivo asije kuwa kama James wa unyumbuni
 
Arsenal Training Centre

A typical English October


@Aubameyang7's got a solution
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…