Kwahiyo Jones,Maguire,Rojo,Tuanzebe,Young ndio mabeki wa maana????mimi nakwambia bora atucheke mtu leicester city ila sio wewe wa Man utd....Unavyoongea utadhani Arsenal ina wachezaji wa maana, utadhani Torreira ni kiungo wa maana, utadhani Mustafi, Holding na Luiz ni mabeki wa maana
Matatizo ya United yatakwisha kabla ya Arsenal, sababu always Tajiri anaweza kumaliza matatizo yake mapema kuliko masikini asiye na resources za kutosha
PALE EMIRATES MAGOLI YANAINGIA, MASHABIKI WANASHANGILIA KWA NGUVU ZOTE, HALAFU KUNA MTU YUPO TANZANIA ANAJIFARIJI NGOJA TUPIGWE ILI KOCHA AFUKUZWE(Njia bora sana ya kujifariji)
Kama wewe unavyoona Chelsea ni bora kuliko timu zote duniani mkuu.Uyo mahaba yamemzidi anaona arsenal ni bora pengine kuliko hata Man city
Mkuu kuna wengine ni lazima wacomment tu nao wajulikane kama wapo...Umeona wapi Tukishinda wanasema KOCHA abaki?
Timu hata ikishinda emery analaumiwa kwa kucheza ovyo ,
Na uongoz wa klabu upo makini ndio maana amepewa mech na palace kabla hajajadiliwa kutimuliwa .
Hiyo kusema tukishinda tunamsifia kocha naisikia kwako
Hii ni kauli ya bellerin captain, Anasema hata kama wanafanya makosa bado mpira tunaocheza hauridhishi
Bellerín: ‘I think we have to keep the ball better. That’s our trademark, we want to play football. Sometimes you make mistakes but doesn’t mean you stop playing that way. We’re Arsenal, we have a style of play, it’s in our DNA and we want to play like that’.
Yaan hawa kuanzia beki had forward sion mchezaji wa maana kulinganisha na Arsenal ,Kwahiyo Jones,Maguire,Rojo,Tuanzebe,Young ndio mabeki wa maana????mimi nakwambia bora atucheke mtu leicester city ila sio wewe wa Man utd....
Pipa na mfuniko
Kwa kweli kuna watu wanashangaza sanaMkuu kuna wengine ni lazima wacomment tu nao wajulikane kama wapo...
UNAI OUT
Anavyoongea utadhan kila msimu hawatumii hela kibao lkn matokeo sifuriwe nyang'au madhaifu yenu ni Ed Woodward na usitegemee kufukuzwa wamiliki wanaangalia faida tu.matatizo yenu yatabaki hapo hapo kila msimu..
Mkuu hata Chelsea hawamfukuzagi kocha kwa mech 1Maneno bila vitendo ni kupoteza muda.
Najua ninachoongea, ila kwa kuwa hakikupendezi unajiaminisha kwamba ni boko
Kinachonichekesha ni excuse mnayotumia mashabiki wa Arsenal ku justify kufanya kwenu vibaya. Mara kocha, Mara sijui Guendouzi....... Hahahaa, kuhusu Guendouzi wote mlikuwa hamtaki kumuona akianza lakini Unai akaendelea kumuamini na sasa naona wote mnamuamini
Arsenal kamzidi United kwenye ushambuliaji tu, hamna beki pale. Luiz ni Chelsea reject, hao wengine hata Burnley hawapati namba. Arsenal ana moja kati ya record mbovu za ulinzi pale EPL, nakumbuka Liver alimlamba 4 sijui 5.
Kwahiyo United strength yake ni defense na Arsenal ni forward ndio maana United anaweza kufunga goli moja na akashinda mechi, ila Arsenal anaweza kupata goli 3 na bado akapoteza mechi
Pia, usiogope kuhusu United maana January ana room ya kuimarisha timu ikiwemo safu ya ushambuliaji as long as hela ipo (Ndio uzuri wa kushabikia timu zenye hela)
Kutumia nguvu kusema Arsenal atamaliza juu ya United ni kupoteza muda, maana na mimi naweza kutumia nguvu kusema United atamaliza juu ya Arsenal. Nakumbuka uliwatabiria Chelsea vibaya na sasa hivi utabiri wako unaelekea kukugeuka, hivyo hata huu utabiri juu ya United unaweza kukugeuka
Baki na ushauri wangu, muda ndio jibu la nani atakuwa zaidi msimu huu kati ya United na Arsenal
Si ndio huyu huyu alimkimbia AubaSasa Eti Maguire ,wanaona ni beki wa maana kuliko mabeki wote EPL ,
View attachment 1243910
Jana hiyo nusura wamvunje matako
Mkuu umeongea vzr sanaHapana. Chief tangu msimu huu uanze hakuna mechi ambayo Arsenal ilifikisha idadi ya magoli 3 halafu ikafungwa hiyo mechi.
Luiz ni Chelsea reject? Mchezaji akiambiwa hatochezeshwa akaamua kwenda sehemu atakayopata nafasi siyo jambo geni. Nketiah hayupo Arsenal kwa ajili hiyo, Welbeck ameondoka Arsenal kwa ajili hiyo, Sturridge ametoka Liver kwa ajili hiyo, Sanchez hayupo Man U kwa ajili hiyo.
Kusema nyinyi mna defence ngumu kuizidi Arsenal yaweza kua upo sawa. Ila sisi tumeshacheza na nyinyi huku CMF akicheza kama RB mara 2, mara ya kwanza ikawa sare, mara ya pili mkapasuka. Na kipindi hicho mlikua na Lukaku, Martial, Sanchez na Rashford. Msimu huu tumekutana na imekua sare.
Tumepata sare huku beki unayoisema bora ikikimbia kumkaba Aubameyang, wakiongozwa na beki ghali, Le Captain Maguire
Kusema Man U haina striker sidhani. Kwakua wote majibu ya Ole kwamba ana Martial, Lingard na Rashford tuliyasikia na sasa hivi kaongezeka Greenwood. So strikers mnao.
Binafsi naona tulichozidiwa na Man U siyo nafasi za wachezaji beki wako Wan Bisaka tangu atue Man U cross zake ni komedi, sawasawa na Ashley Young, Bellerin na Tierney they do better. Sina uhakika ila nafikiri tangu msimu uanze hakuna cross wala faulo iliyopigwa na beki wenu wala Ashley Young ikawa goli.
Labda beki ya Arsenal imezidiwa na ya Man U kwa gharama ya kipesa.
Jana Maguire kalambishwa mchanga dadeq ila sasa yule dogo ili ashinde lile goli alihitaji ubongo wa Saka yeye kautumia wa Rashford.Yaan hawa kuanzia beki had forward sion mchezaji wa maana kulinganisha na Arsenal ,
Na still kila dirisha wanatumia hela kuliko timu zote ,
Sisi msimu huu Tumeanza kutumia £100m+ kwenye usajiri unaona kabisa kuna quality players zimekuja na zitakuja
Sasa Eti Maguire ,wanaona ni beki wa maana kuliko mabeki wote EPL ,
Hahaaaaa huyo beki sijawahi kumuelewa huwa ni mzito sana , sijui wanamsifiaga nnJana Maguire kalambishwa mchanga dadeq ila sasa yule dogo ili ashinde lile goli alihitaji ubongo wa Saka yeye kautumia wa Rashford.
Maguire alilala kama mwanafunzi kalala kachapwa viboko halafu anasikilizia uchungu.
Mpaka muda huu ilitakiwa mashabiki wa Man U wawe washajua kua pesa siyo lazima ikuhakikishie mafanikio. Wamefanya spending kubwa EPL nzima wakiwa wamezidiwa na Man City tu ila hata hawapo nyuma ya Man City, big spender mwenzao.Mkuu umeongea vzr sana
Unajua Raul kamwambia emery tumekupa strong squad , hakuna excuse
Jana RVP kasema kosa la emery ni kushindwa kuiunganisha timu
Sasa hilo ni tatizo la kocha ,
Angalia KT mech 2 assist 3 tayari lkn kocha anampanga Kola
Belle karud juz tu ana assist 1
Huyo anayesema wana beki bora na imara nasikia huyo bisaka toka afike hana cha assist zaid ya tackling
Hivi kwa kiungo cha Ceballos lt11 xhaka ,Mateo kama kocha akipanga vzr tungekuwa wapi, cha ajabu anakomaa na kale katoto willock
Hahaaaaa huyo beki sijawahi kumuelewa huwa ni mzito sana , sijui wanamsifiaga nn
Ndio maana hata kitakwimu anazidiwa na mustafi
Tatizo mustafi alikuwa na errors kibao ndio tofauti yao
Ukifatilia vzr mustafi kitakwimu kamzidi vingi,
Kiburi cha emery mpaka sasa hajaanza kuwatumia Belle holding luiz KT ndio maana waropokaji wanaona beki ni mbovu
Mchukueni tumewapa.Tupenj Ozil tuwape Rose Barkley ..atawafaa sana
Mkuu achana naye huyo, usipoteza nguvu zako aiseeWewe una wachezaji gani wa kuwazid Arsenal?
Unasema matatizo yenu yataisha , kwani mmeanza kuspend hela nyingi msimu huu?
Lakin still mna timu mbovu kuliko Burney
Unasema sisi huku tunataka timu ifungwe ila UK wanataka ishinde ,
Nikisema unatoa maboko huelewi
Wachezaji Wenyewe hawamuelewi kocha
Bellerín: ‘I think we have to keep the ball better. That’s our trademark, we want to play football. Sometimes you make mistakes but doesn’t mean you stop playing that way. We’re Arsenal, we have a style of play, it’s in our DNA and we want to play like that’.
Bodi ya timu haimuelewi
Mashabiki huko huko UK kila siku wanashinikiza Atimuliwe
Mtandao wa Goal.com ulitoa takwimu zaidi ya 70% mashabiki hawamuelewi
Nasubiri hiyo man u itakayotumia hela inyanyuke , kwani sion mchezaji wa maana japokuwa inaonesha ndio mmetumia hela nyingi, labda hujui hilo