Nilipoona kikosi tu OZIL hayumo nilijua hili ni tatizo hawa watoto wanacheza Direct football ile ya ki British kabisa kama huna playmaker wa kuwafungua wanalala na wewe.
Next three Fixtures Crystal palace Wolves na Leicester city
Kumbuka Msimu uliopita mechi hizi za mwisho tulipigwa na hawa wote na kwa mpira huu tunaocheza NARUDIA HUU TUNAOUCHEZA HUKU MASHABIKI TUNAPAMBANA PU**** mazee msitegemee jipya kabisa kabisa