Lazima nikualike mwisho wa msimu katika sherehe za ushindi wa double Champions league na EPL 2010/11 tukiwa pamoja na Richard,Wacha1, BAK, Wenger na Mbu, na tutafanya get together ya nguvu kwa washika bunduki kule nyumbani (bongo) tukiwa pamoja na Ba Mkubwa, Kibs, Genekai, Companero, Balatanda, Ngwaza Madaso, Katavi, GT,Radical etc na tutawaalika akina nyinyi Belo, MTM, El nino, Masa, AbTitchaz,Peasant ,Manda, Genius, Shedafa, Invi, Gutierez, Abdulhalim, BJ, Eqylipz, Mvina, Rev Kishoka , Sanda matuta na wapenda soka wote.