Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa kwani na wewe umekatazwa kusema kepa ni bora kuliko LENO mikono mia?

Mbona unalialia?kulia sio suluhisho la tatizo linalokukabili.....pole mkuu na mimi nakazia kuwa HAPO CHELSEA UKIMTOA NGOLO KANTE HAKUNA ANAYEWEZA KUPATA NAMBA ARSENAL KUANZIA KIPA MPAKA MSHAMBULIAJI

FACT
 
EPL 2019/2020

Chelsea 2 - 0 Brighton
Brighton 2 - 0 Spurs

Norwich 2 - 3 Chelsea
Norwich 3 - 2 Man city

Chelsea 5 - 2 wolves
Man City 0 - 2 ,wolves

Chelsea 4 - 1 Southampton
Liverpool 2-1 Southampton

ACHA WIVU ZUMBUKUKU WEWEE
Aisee! Kumbe mpira ndio unapimwa hivi,


kuna watu kujenga nao hoja nikupoteza muda na nguvu.


Kwa hiyo Man city utamfunga ngapi?? maana kafungwa na timu ulizozifunga wewe.
 
Mkuu umeongea ukweli, ndio maana Mimi nawakubali sana mashabik wa Liverpool , wana fact ,na hawaikimbii timu YAO, sio hawa walioanza kuijua Chelsea baada ya drogba ,
 
EPL 2019/2020

Chelsea 2 - 0 Brighton
Brighton 2 - 0 Spurs

Norwich 2 - 3 Chelsea
Norwich 3 - 2 Man city

Chelsea 5 - 2 wolves
Man City 0 - 2 ,wolves

Chelsea 4 - 1 Southampton
Liverpool 2-1 Southampton

ACHA WIVU ZUMBUKUKU WEWEE
Mbona haujaweka hii

MAN UTD 4 - CHELSEA 0
MAN UTD 1 - ARSENAL 1

UMEGUNDUA NINI KULINGANA NA HIYO MIFANO YAKO HAPO JUU????

NAONA KUNA KITU UMEGUNDUA ILA UNAJITOA AKILI ZUMBUKUKU SQUARE SHUBAMIT.....
 
Aisee! Kumbe mpira ndio unapimwa hivi,


kuna watu kujenga nao hoja nikupoteza muda na nguvu.


Kwa hiyo Man city utamfunga ngapi?? maana kafungwa na timu ulizozifunga wewe.
Amini kwamba huyu badobado sana tumvumilie.....ndio anajiingiza katika family ya wapenda soka lazma atoe maboko kama haya
 
"William Saliba played a blinder as Saint Etienne beat Lyon by 1-0 last night. The 18-year-old centre-back, who signed for Arsenal in a £27 million deal during the summer, was charged with the task of keeping Dembele quiet - a job he performed excellently"
 
Dani Ceballos has created 6 chances in his last 5 games.

Mesut Özil created 6 in 71 minutes.

I’m taking an efficient playmaker over a hardworking “playmaker”.
Tuna kocha wa ajabu sana haijawahi tokea....sijawahi mkubali toka akiwa PSG maana alipewa kila aina ya mchezaji mkali duniani aliyemtaka na bado timu ikavurunda
 
Tuna kocha wa ajabu sana haijawahi tokea....sijawahi mkubali toka akiwa PSG maana alipewa kila aina ya mchezaji mkali duniani aliyemtaka na bado timu ikavurunda
Sasa hiv wachezaji ndio wanapambana


Subir baada ya break ndio atachanganyikiwa zaid maana

Hakutakuwa na majeruhi hata mmoja
 
This is where top no 10s operate.

Instead, Pepe has to take on 4 Bournemouth players.

He has amazing stats in take ons but can’t do it all.

Özil lives in that space.

It’s so evident it’s beyond belief.
 
Hii game niliiangalia kijana yupo very promising. Huwezi kuamini kama ana miaka 18.

Nafikiri tukimpata na yule kijana wa Ujerumani hawa akina Luiz, Papa, Mustafi watakuwa hawana kazi tena.
 
Huyu jamaa atatuangusha tuu°

Huko PSG aligomewa mifumo yake ya kizinguaji na wachezaji

Alianza bifu na Thiago akawa anamla benchi akawa anamchezesha kimpembe

Akafata kwa verratti akafata kwa Di Maria akafata kwa matuidi ndio akamwondoa matuidi akajiunga na juve akamwondoa maxwell akawa anamla benchi kurzawa baada ya kumsajili Yuri berchiche

HIVO KWA WASIOMJUA UNAI NI MTU WA MABIFU
 
Huyu mla pilipili hafai hata kuifundisha Nondo fc ya mtaani kwetu....
 
Nilishasema siku nyingi humu huyu Unai Emery anataka wachezaji wanaomnyenyekea, wanaokubali kila atakachosema hata kama hakina mantiki. Ukiwa nae kinyume kimtazamo anakuwekea bifu na kukupiga benchi. Ni kocha anayetengeneza makundi ndani ya timu.

Binafsi mbinu zake za ufundishaji nilianza kuzitilia shaka toka aliposababisha PSG kufungwa 6-1 na Barca nikaja kuhitimisha kwa kushindwa kutuwezesha kupata point 4 kwenye michezo 4 ya mwisho msimu uliopita.

Kiufupi huyu kocha ni wa kawaida sana, narudia kusema ni wa KAWAIDA SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…