True he is not the best ila anasaidia sanaKwasasa GUE anaisaidia sana timu, huwezi kumcopare huyu na yule wa msimu uliopita
True he is not the best ila anasaidia sanaKwasasa GUE anaisaidia sana timu, huwezi kumcopare huyu na yule wa msimu uliopita
Tuweke Pulisic sio?Ondoa PEPE jamaa mawenge sana
Saka has had 2 starts in a row and has been ok but I feel Martinelli deserves his chance now 


Morata tulirudisha pesa ..yan hakuna loss wala profit ..ila uyu Pepe kwa kweli Lile wamewanyoosha vilivyo ..ni bonge la khasara pale..Kama nyinyi mlivyopigwa kwa Morata?
Na nyinyi mkawapiga kwa Courtois na Hazard.
Julio Kihwelo aliwahi kusema mchezaji mzuri akipigiwa pasi tu namna anavyoipokea utajua tu kama huyu ni player. Sasa muangalie Pepe.


Mkuu kuna tatizo gani kwa Lt11, Bellerin,Holding na Tierney. Au bado hawana match fitness?Arsenal predicted lineup (4-3-3): Leno; Chambers, Sokratis, Luiz, Kolasinac; ceballos Xhaka, Guendouzi; Pepe, Aubameyang, Saka.
Kama ni hivyo ushindi utakua mgumuArsenal predicted lineup (4-3-3): Leno; Chambers, Sokratis, Luiz, Kolasinac; ceballos Xhaka, Guendouzi; Pepe, Aubameyang, Saka.
Kazi unayo dadeki. Na mshukuru Madrid hawataki tena biashara na nyinyi wangewatwisha zigo jingine mhangaike nalo.Morata tulirudisha pesa ..yan hakuna loss wala profit ..ila uyu Pepe kwa kweli Lile wamewanyoosha vilivyo ..ni bonge la khasara pale..
Kiufupi arsenal kuanzia kocha mpka baadhi ya wachezaji tumepigwa![]()
Jana mmetuwekea mazingira ya top 3Leo mnacheza na mumewake cheltako