Lille are βlaughing all the way to the bankβ when it comes to Nicolas Pepe, says Martin Keown, with Arsenal considered to have overpaid for an underperforming Β£72 million ($89m) forward.
Acha hizo mkuu,mpira haupo hivyo ingekuwa kila nafasi watu wanaeka kambani nafikiri top scorer angekuwa na goli 100,na mpira wa miguu ungekuwa kama basketball
Ile combination yake na rvp na song kwangu ndo ilikua the best walikua wana onana sana zile pasi kama atak na zile long ball za song daah so sad atuku win kitu
Gabriel Martinelli, leo kaja tofauti na mechi ya Nottingham Forest, ameogeza kujiamini na kachangamka zaidi naamini Akiendelea kupata muda atabadilika kwa muda mfupi zaidi kuwa mchezaji muhimu.
Dah, tuache unafiki jamani, watoto wale wa Arsenal Jana, walitukumbusha enzi za babu, sikiona aliyecheza vibaya,... Huyo Willock ukiangalia umri na mambo anayo yafanya ni bonge la Hadhina, Martineli, Nelson, Tierney, na wote wako moto sana,..Martinez ni Mali kinyamaa, hawa wa Amerika wa Kusini, ni vipaji sana,...