Hatuna uwezo wa kumsema Ozil vibaya wakati hatuna wa kulingana naye kwenye timu jamaa ni mchezaji wa kipekee sana akicheza tu utaiona ile Arsenal yenyewe imerudi.
Siku moja Joachim Low akiwa anahojiwa kuhusu Ozil aliwahi sema
"How can you win without Ozil"
Lakini Unai haoni kitu kabisaa kwa Ozil anaona kwa Nelson na Willock
Ni muujiza unaendelea Arsenal.