Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kusanya mataji kwanza nafikiri baada ya miaka 50 ndio uje tupigiane hesabu.......huwezi kwa lolote na kwa muda huu wewe kujifananisha na GUNNERZ ni kutaka kuwachekesha watu wenye stress zao......


COYG
Naanzaje kujifananisha na gunners mzee. Nyie wachumba tu izo mickey mouse cups zinawapa jeuri? Mimi nina Europe Cups za kucheba
 
Arsenal ingekuwa na players wenye mentality kama

Guendozi
Auba
Tierney
LT11

Tukipata first 11 zenye mentality km hizo tutakuwa mbali..

Geundozi gemu ambazo tulizidiwa vs spurs na vs aston villa yeye ndo gemu alizoonesha ukomavu na kuiyongoza timu kupata matokeo

Auba sina cha kumwelezea tunajua wenyewe upambanaji wake

LT11 nadhani mnafaham shughuli yake japo kocha amekuwa akimtumia sivyo coz uruguay na hata sampdoria alikuwa anakaa mbele ya ile back 4 na kuwalinda na sio box to box au kumweka kama right midfielder emery anakosea sana ila ni fighter anapambana mpaka dakika ya mwisho

Tierney bado hatujamwona sana ila tangu akiwa celtic jamaa ni winner ana ile spirit ya kupambana...mtamwona vzuri leo


View attachment 1219639
Hapa nakubaliana na wewe aisee. Unajua tatizo lililopo ni vipi kocha anaweza kuwachezesha xhaka, lt11, Guendouzi na ceballos katika first 11
 
Mechi ngumu hii nafkr hana chaguo lazma aweke mashine hio, kama ata force itabd, lt11, xhaka, gundeouz waanze kati kwa pa1, cabellous pepe, auba waongoze mashambulizi mfumo 4-1-4-1
Leno
Berellin, chambers holding tierney
Torreira
Pepe, gundeouz, xhaka, cabelous
Auba
Sidhani kama chambers anaweza kuanza Leo kama CD. There is a little chance for that
 
Wadau Leo PEPE atafanya makubwa

Man u akili zao zipo kwa Auba

Lkn wanasahau pepe ni fire ,na beki zao zile nzito , pepe atawafanya kitu mbaya
 
Leo emery akifanikiwa kuweka kiungo vzr , tunaimaliza mech half time
Ningekuwa mimi ndio kocha Leo ningepanga kama ifuatavyo.

Leno
Chambers, holding, papa, Tierney
Guendouzi, torreira, Xhaka
Ceballos
Pepe, auba

Sub zangu ningekuwa na ozil for ceballos
Martinelli for pepe
Saka for ceballos

NB: Sub zitategemeana na matukio ya uwanjani such as injuries, underperformance, goal seeking.
 
Back
Top Bottom