Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Emery amesema atamchezesha AML badala ya Bellerin, hii ni habari mbaya kwangu
Hii alitumia nahisi ilikua game na Watford, na tuliongoza 2-0 first half,lakini kama unavyomjua Emery kila siku anatusupriseMnaonaje tukicheza 4-3-1-2???
Leno
Chamber/bellerin, luiz/papa, holding, Tierney
Guendouzi, xhaka, ceballos
Ozil
Pepe and auba
Acha kutumia nguvu mkuu kutafuta ukubwa, weka mafanikio yako watu waone.King wa London kwa lipi mzee!! Mna cha kujisifia nyie?
Alichofanywa watford na mancity ndo nakufanya wewe
Unamaamisha unakuja kunifanya ulichomfanya Watford?
Naanzaje kujifananisha na gunners mzee. Nyie wachumba tu izo mickey mouse cups zinawapa jeuri? Mimi nina Europe Cups za kuchebaKusanya mataji kwanza nafikiri baada ya miaka 50 ndio uje tupigiane hesabu.......huwezi kwa lolote na kwa muda huu wewe kujifananisha na GUNNERZ ni kutaka kuwachekesha watu wenye stress zao......
COYG
Ohhh nlidhani mbili. Anyway, hata hivyo sidhani kama anafaa kucheza Leo. Either bellerin au chambershe was banned for one match, that was against Nottingham forest
Hapa nakubaliana na wewe aisee. Unajua tatizo lililopo ni vipi kocha anaweza kuwachezesha xhaka, lt11, Guendouzi na ceballos katika first 11Arsenal ingekuwa na players wenye mentality kama
Guendozi
Auba
Tierney
LT11
Tukipata first 11 zenye mentality km hizo tutakuwa mbali..
Geundozi gemu ambazo tulizidiwa vs spurs na vs aston villa yeye ndo gemu alizoonesha ukomavu na kuiyongoza timu kupata matokeo
Auba sina cha kumwelezea tunajua wenyewe upambanaji wake
LT11 nadhani mnafaham shughuli yake japo kocha amekuwa akimtumia sivyo coz uruguay na hata sampdoria alikuwa anakaa mbele ya ile back 4 na kuwalinda na sio box to box au kumweka kama right midfielder emery anakosea sana ila ni fighter anapambana mpaka dakika ya mwisho
Tierney bado hatujamwona sana ila tangu akiwa celtic jamaa ni winner ana ile spirit ya kupambana...mtamwona vzuri leo
View attachment 1219639
Sidhani kama chambers anaweza kuanza Leo kama CD. There is a little chance for thatMechi ngumu hii nafkr hana chaguo lazma aweke mashine hio, kama ata force itabd, lt11, xhaka, gundeouz waanze kati kwa pa1, cabellous pepe, auba waongoze mashambulizi mfumo 4-1-4-1
Leno
Berellin, chambers holding tierney
Torreira
Pepe, gundeouz, xhaka, cabelous
Auba
Wewe ni timu ndogo tuNaanzaje kujifananisha na gunners mzee. Nyie wachumba tu izo mickey mouse cups zinawapa jeuri? Mimi nina Europe Cups za kucheba
Ile gemu huyu kocha wenge sana. Alimtoa ceballos na ozil kwa pamoja timu ikakosa muunganiko kabisaHii alitumia nahisi ilikua game na Watford, na tuliongoza 2-0 first half,lakini kama unavyomjua Emery kila siku anatusuprise
Alikupiga 4-0 hapo OT , bas wewe una hali mbaya ,Leo pipa na mfuniko wanakutana. Ila pipa atashinda
Kwani ndugu haya maongezi yetu hapa jukwaani yana impact gani kule London???Hii mechi itaisha suluhu maana kila mtu anamwaga tambo zake hapa
Leo emery akifanikiwa kuweka kiungo vzr , tunaimaliza mech half timeIle gemu huyu kocha wenge sana. Alimtoa ceballos na ozil kwa pamoja timu ikakosa muunganiko kabisa
Kuna uwezekano mkubwa chamber akaanza kama RBSidhani kama chambers anaweza kuanza Leo kama CD. There is a little chance for that
Emery haaminikiEmery amesema atamchezesha AML badala ya Bellerin, hii ni habari mbaya kwangu
Ningekuwa mimi ndio kocha Leo ningepanga kama ifuatavyo.Leo emery akifanikiwa kuweka kiungo vzr , tunaimaliza mech half time
Nadhani hivyoKuna uwezekano mkubwa chamber akaanza kama RB