Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhan kwa ushindi huu AARON Atapata nguvu za kutembelea njuzi zetu na kujaza stats za asernal
 
Arsenal Fans pamoja na kwamba Mourinho ni kocha wa matokeo na hatujachukua kombe muda mrefu nisingependa aje aharibu Falsafa ya kitopaki train...
Relax mkuu!

He wont come to arsenal especially in the near future. We are fine.

Maneno mengi yaliyosemwa baada ya game ya watford yanatokana na kwamba we are aiming very high this season kwa hiyo hatutavumilia kupoteza hata point moja. Unlike Chelsea and United.

Na hili nimeliona ni world wide maana tume-draw lakini ni kama tulifungwa, and that is good for us. It will push us toward success
 
Japo tumeshinda ila defensive tuna matatizo makubwa pia midfield yetu haina uwelewano inaruhusu mashambulizi mengi. Unai kwa hili anabeba lawama kwa kutokucheza aggressive midfielder.

Tuombee Tierney na Bellerin warudi wakiwa fit pia tukipata combination nzuri ya CB natumaini tutafanya vizuri.
 
Japo tumeshinda ila defensive tuna matatizo makubwa pia midfield yetu haina uwelewano inaruhusu mashambulizi mengi. Unai kwa hili anabeba lawama kwa kutokucheza aggressive midfielder.

Tuombee Tierney na Bellerin warudi wakiwa fit pia tukipata combination nzuri ya CB natumaini tutafanya vizuri.
Emery hajawahi kufanikiwa kusuka defensive ktk maisha yake ya soka kama kocha.

Usitegemee defence kuja kuwa nzuri chin ya emery hata siku 1 , toka yupo Valencia, sevilla na PSG
 
Arsenal Fans pamoja na kwamba Mourinho ni kocha wa matokeo na hatujachukua kombe muda mrefu nisingependa aje aharibu Falsafa ya kitopaki train...
mbona hata huyu Unai kashatupotezea identity yetu kabisaaaaaaa.......maana Arsenal yetu tunayoijua sio hii,tulikuwa tunacheza soka la kuvutia ambalo lilifanya hata wasio washabiki wa Asenal kwenda uwanjani kutazama burudani.....leo hii inanipa tabu sana kuitofautisha arsenal na Yanga maana Watford wakutupelekapeleka sisi namna ile kweli?hata hii game ya jana jamaa wamemiliki mpira asilimia 52 dhidi ya 48 zetu kitu ambacho kipindi cha Prof Wenger ni aghalabu kukikuta,yaani tunakufunga na mpira tunaupiga mwingi sanaaaaaaaaaa,sasa hivi tushinde hakuna burudani tufungwe hakuna burudani kudadadeki.....#UNAI_OUT
 
Wengine wanamsifia yule muhindi ety kuanza kwa LUCAS TORREIRA yaani bado kocha Unai Emery akili hana amempanga Torreira out of position ni kama alivyokua anafanya Maurizio Sarri alikua anampanga Kante ili kuondoa lawama kwa sababu hawezi alikua hawezi kumuweka benchi lakini ni out of position huyo Unai Emery hamna kocha hajui kupanga timu hapo alipomuweka Granit Xhaka ndio ilibidi acheze Lucas Torreira lakini kwa sababu akili zake hazifikirii vizuri yeye anaona poa ilihali timu inapoteana sana.
Arsenal kushinda jana 3 bila kusikuaminishe kwamba Emery ni kocha mzuri hana uzuri wowote pamoja na Arsenal kushinda angalia walivyokua wanatafutwa pale kati alipokua anacheza Granit Xhaka palivyokua na gap kubwa na kila mechi ndio hivyo hivyo inavyokua lakini kocha kwa sababu akili ya ziada hana na kiburi chake halioni hilo.
Namaliza ya kwamba Arsenal yetu hii chini ya Unai Emery tunakoelekea kama ataendelea kuwepo pale tutageuka kuwa kama BIASHARA UNITED ya MARA
 
mbona hata huyu Unai kashatupotezea identity yetu kabisaaaaaaa.......maana Arsenal yetu tunayoijua sio hii,tulikuwa tunacheza soka la kuvutia ambalo lilifanya hata wasio washabiki wa Asenal kwenda uwanjani kutazama burudani.....leo hii inanipa tabu sana kuitofautisha arsenal na Yanga maana Watford wakutupelekapeleka sisi namna ile kweli?hata hii game ya jana jamaa wamemiliki mpira asilimia 52 dhidi ya 48 zetu kitu ambacho kipindi cha Prof Wenger ni aghalabu kukikuta,yaani tunakufunga na mpira tunaupiga mwingi sanaaaaaaaaaa,sasa hivi tushinde hakuna burudani tufungwe hakuna burudani kudadadeki.....#UNAI_OUT
Nitafurahi siku likifukuzwa
 
Back
Top Bottom