Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chaplin tulia

Arsenal tunaijua vzr haiwez kuharibiwa na mpuuzi mmoja

Kila siku nasema pale hakuna kocha

Soon tunamuondoa ,wachezaji ni wazuri ,

Tunamleta Alegri au Lucho
 
Chelsea mmevamia humu baada ya sare ya Jana

Subirini sasa ,Mkae mkijua Arsenal hatuwez kuharibiwa sifa na muhuni emery

Kama bodi tunabadili kocha soon
 
Mkuu mbona mbio mbio hivo,

Hapa hatuna kocha ila soon tunamtimua

Timu ipo Kali tu
Hahahahahahahahah Nimepitia comments nyingi za social media za Fans wa Arsenal hasa wa UK palepale Aisee Unai Emery ana maisha mfupi sana Arsenal.
 
Sawa lakini kiongozi uyu Unai mbona kama ligi itamshinda mapema tu?? Wee unaonaje ...tumpe timu Mourihno au tumrudishe Wenger..
UNAI NILISHASEMA HUMU SIO KOCHA

KWASASA TUNAJIANDAA KUMTIMUA

TUMETUMIA HELA NYINGI

ANAHARIBU FALSAFA YETU MPUUZI YULE
 
TUNA TIMU NZURI YA KUPAMBANIA UBINGWA ILA KOCHA HATUNA

SOON TUNAMTIMUA

NI KOCHA KIWANGO CHA CHINI NIMEKUWA NIKISEMA HUMU, KUNA BAADHI WANANIPINGA


ANATUDHALILISHA SANA
 
UNAI EMERY UVUMILIVU UNA MWISHO IMANI INAKIKOMO CHAKE

Binafsi ni mtu ambae niliamini asilimia kubwa huyu ni kocha pengine zile changamoto za first season ni kwamba alikuwa akitafuta ni aina gani ya soka acheze na mahitaji yapi ya wachezaji anayohitaji

Nilimpa mda kwa kuzingatia hayo lakini mpaka kufika sasa sijajua tunacheza nini ni msimu wa pili huu team ikienda away basi mpinzani anakuwa barcelona au man city na sisi tunakuwa girona au fc colgne so sad

display mbovu kuwahi kushuhudia ni jana watford wanapiga shots 31 jiulize walikuwa wanapita wapi kiungo ilipotea kabisa

Sababu hata tulichokuwa tunacheza akijulikani mfumo wa kuanzisha mashambulizi toka kwa keeper lazima uwe na watu wenye confidense na accurate ya pass zao

Jana ukiacha sokratis ata guendiuz alitoa boko maeneo hayo hatari kocha ni lazima ujulikane unacheza kwa falsafa gani unatumia mfumo gani

Kila siku mfumo mpya match moja mifumo kama minne au mitano kabisa game imekuwa tafu inahitaji watu wazoefu unawatoa unaingiza unaowaita fresh players wanaingia kupotea jumla bora walio toka

So sad
 
NARUDIA HATUWEZI KUHARIBIWA TEAM NA MUHUNI MMOJA , SOON TUNAMUONDOA

Arsene Wenger established a style of play at Arsenal over 22 years, the team committed to playing a type of football that was both entertaining and successful. But for all the lovely passing play, by the end of his tenure rival managers had sussed Arsenal out and left them trailing.
 
Ahahah! Baada ya saa 24 za maumivu chimbo sasa ndo unatokea
 
Nimekupa mechi 10 tu, usisahau. Usimlaumu tu Emery, huna timu ya ushindani
 

Daa huu utabiri siyo ya kisporti sporti kabisa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…