Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal mdebwedo. Defence na nyanda uchochoro. SAD!
 
unai kazingua sanaa yan hii mechi attempts za watford ni 30+ arsenal 8 ukija kuangalia niles position kazingua kupitiliza kiasi kwamba mipira yote inatokea upande wake.ukija kuangalia sub alizofanya unai ni majanga .kati na mbele hakuna kitu.utarajie nini sasa?! unai kaaribu philosophy za arsenal kabisaa
 
Mkuu umepotea sana

Huyu kocha kwasasa akizingua anafurumushwa , alipewa mkataba wa miaka miwili unaelekea ukingoni, Kuna Raul hatak ujinga , ndio maana had sasa hakuna dalili za kumuongezea mkataba ....
Hatuna jipya
 
AROON hana raha, amesononeka aibu imejaa sababu ya timu mbovu.
Luiz mlipigwa na majirani,
Pepe ni championship level anazidiwa magoli hata na beki wa Chelsea Tomori ambaye amecheza mechi 2 tu.
 
Waungwana nilikua namuuguza bibi angu bahati mbaya amekufa asubuh ya leo, so nategemea mnpe update ya game yetu ikiwezekana na link za magoli nkipata mda ntakua nachungulia humu coz cwez kuchek game
Daah kaka pole sana na msiba. Mungu ampe hifadhi njema na ampunguzie adhabu ya kaburi. Amina
 
Nadhani watu mjikite kujenga timu zenu muache maneno yanawaponza je msingekuwa mmesajili kama chelsea ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…