Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Training today
At Colney
At Colney
In a special episode of The Breakdown, @AdrianJClarke assesses...
Emery anataka azike kabisa kipaji chake , ila soon atacheza ,yupo fit 100%Ozil sijui atacheza lini, nimekumbuka sana kumuona uwanjani.
First team train ahead of Watford
Kaongea kuwapaisha Arsenal kweli yaaniDani Ceballos:
"I love the city, I love the Premier League & love Arsenal. I’m just really, really happy to be part of this great club. I’ve hardly noticed any difference in size between Real Madrid & #Arsenal"
Basi tukusikilize wewe ,uliyepo kiluvya ,tuache kumsikiliza Aliyepo London aliyeishi kote kote .Kaongea kuwapaisha Arsenal kweli yaani
Real Madrid na Arsenal wapi na wapi? Hata Man Utd tu na glory ile ila mkubwa kwenye makaratasi ya Benki tu Real timu kubwa duniani , level moja na kina Barça na Bayern
Arsenal level moja na Spurs,Everton ambao wote kwa pamoja hawana UEFA hata moja



Jiandae kesho ,Wolves wanahitaji point 3Ndo aina ya midfield wa Arsenal?View attachment 1206032