Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Nguvu kubwa ya Liverpool ni mabeki wao wawili Trent-Alexnder Arnold na Andy Robertson.

Ni kweli kama Arsenal wangechezesha kikosi chake kamili kule mbele Pepe, Laca na Aubameyang. kati Xhaka na Torreira na AM Ceballos.

Nyuma kushoto Kolasinac, kulia Maitland-Niles kati Sokratis na Luiz.

Baade unaingiza DMs Guendouzi, Mikhy na Ozil maana ni big game.

Unaachana na akina Willock na wengine unawaambia hii ni big game ni kushinda au sare.
 
We are going to win this match, dont be afraid

London our city
 

Si dhan kama una akili kama za kocha kuna kitu kakiona kwa laca jarbu kuheshimu prof za watu
 
Tatizo la mashabiki wa asernal mna matarajio makubwa kwenye timu yenu kuliko management ya asernal hapo ndo mgongano wa masilai unapoanzia kuweni wapole ni chelsea pekee ambapo boss akiona timu anabolonga anafanya maamuzi fasta
Pole sana wana asernal ndo mpira huo
 
"masilai" "Asernal" ndio nini wewe, hujui kuandika au?
 
Huijui Arsenal ,hujui chochote kaa kimya , Kocha kaletewa wachezaji hawapangi , management inahusika vipi
 
Hiki kikosi ndio kila MTU alikitarajia ,hata wachambuz wa sky wanamshangaa unai kwa poor team selection ,
 
Yaan Jana hadi nimemkumbuka Arsene ,

Yaan unai kaletewa watu wa maana lkn hadi Leo hajui kuwapanga ,na anawapiga bench ,

80% msimu uliopita kashindwa kutupeleka nafas ya 3 ,

Unai hawez kutufikisha nchi ya ahadi,
 
Unai ameshindwa kabisa kwenye team selection, sijajua LT na Lacca wana shida gani hadi kuwekwa bench(huenda kuna technical reasons ikiwepo match fitness) ila kwa lineup ile lazima Liver wangetufunga tu.
 
Unai ameshindwa kabisa kwenye team selection, sijajua LT na Lacca wana shida gani hadi kuwekwa bench(huenda kuna technical reasons ikiwepo match fitness) ila kwa lineup ile lazima Liver wangetufunga tu.
Hakuna cha mech fitness kaka, pale hatuna kocha , Huyu unai ndio msimu uliopita toreira mech 4 kawa man of the match , akaanza kumpiga bench na kumbadilisha namba ,

Ni muoga sana mech za away,
 
Anfield Arsenal hachomoki

Ngoja mje muwapange hao mnaowataka pale Emirates kama kichapo hampokei tena

Mashabiki wengi wa Arsenal huko duniani wamekiri kwamba Liverpool ana timu nzuri kuliko Arsenal parefu tu (Liverpool is a better side) nyie mnaongelea kupata draw Anfield chini ya Klopp
 
hizo statics zako umezitolea kijijini kwenu au?! ni bora unyamaze kimya kama huna uwakika.....
 
Granit Xhaka on Tottenham next week: “It’s a derby & we know how important it is for the fans, the club & for us. We have shown in the last few years we that can have very good games against them. Let’s start getting ready this week so we’re ready to play against Spurs.” #afcdaily
 
Match fitness wap shaka alipata injury ila kapona kaingia straight kwenye kikosi, kwann isiwe torreira au laca n mahaba yake tu mwehu yule
 
Nilisha zungumza huko nyuma changamoto ztakazo tukwamisha tusifanye vzur pamoja na kusajli vzur n mahaba ya mwalimu kwa wachezaj flan flan, kuna wachezaj watakula bench ata kama wako kwenye kiwango cha juu, na wengine watacheza ata kama wana viwango vya kusuasua, hili tatzo lipo toka enz za wenger na giroud wake,. Emery ana mahaba niue kwa auba, guendouz, mikh, ila sio ozil, lacca na torreira, ile nafac ya willock angecheza iwob kama asingekua ameondoka ili mrad tu laca asianze,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…