Emery awe serious sasa ,aweke kikosi strong ,
Sasa tumecheza mechi moja na ligi inahitaji ucheze mechi 38. RelaxBas mngekuwa na point hata 1, mnamiliki mpira halafu work done zero
Kesho mjiandae kunyolewa bila maji
AsanteHongereni wakuu.
Kwa kikosi chenu hicho sijui..naweka akiba ya manenoSasa tumecheza mechi moja na ligi inahitaji ucheze mechi 38. Relax
Imeisha 2-2 VAR ilifanya kaz yakeWakuu leo spurs kanikera sana, ameruhusu vipi goli dk ya 90+???? angewang'ang'ania mbweha wale .
Ngoja aje Emirates na sisi tumpe adhabu kali kwa makosa aliyofanya leo.
Dah! kumbe mkuu Afadhali aisee gap lisiwe kubwa.Imeisha 2-2 VAR ilifanya kaz yake
Mkuu, huyu matteo mimi mwenyewe huwa namdiss sana lakini kiukweli game ya leo alikua anapandisha timu vizuri, kacheza sana nimempenda for real, ila shida yake kubwa ni kwenye kudefence pale timu inapokua haina mpira.Mimi kusema kweli akixheza Guendouzi huwa nakuwa na mashaka sana mpaka mechi inaisha.... Ila nadhani kocha antaka asiwepo mchezaji atakayejiona bila yeye timu haiendi.. Halafu huyu pepe mechi ijayo ataanza!..
Awa madogo pelekeni championship uko ..laa siivyo mutaendelea kushiriki Europa tu..Joe Willock:
“ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."
Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?View attachment 1183954
Hahaha kwa iyo na nyie arsenal kwa sasa munaomba Man city apigwe ili gape lisiwe kubwa hahahahaDah! kumbe mkuu Afadhali aisee gap lisiwe kubwa.
Unatuchukulia poa eeeh, msimu huu mimi nyie siwahesabu kama ni timu.Tunapiga nje ndani, pointi 6 za bure, labda mkamkodi hazard aje kuwasaidia.Hahaha kwa iyo na nyie arsenal kwa sasa munaomba Man city apigwe ili gape lisiwe kubwa hahahahamaisha yanaenda kasi sana aise...
Hongereni sana wakuu muna impruvu kwa kasi sana
Imeisha 2-2 VAR ilifanya kaz yake
Haimbebi bali inamtendea haki palipo na dhuruma.Kwa mara ya 2 Totenham VAR inambeba mbele ya Man City
Mbona madogo wenu ndio mnawatumia, hawa madogo wamekuwa na wanacheza vzr tu, watakomaaje bila kupewa nafas kikosi cha kwanza, wakwenda championship wameshaenda.Awa madogo pelekeni championship uko ..laa siivyo mutaendelea kushiriki Europa tu..
Goli la Burnley limepatikana miguuni mwa Guendouz
Leo kacheza vizuri sana kwa kweli...Mkuu, huyu matteo mimi mwenyewe huwa namdiss sana lakini kiukweli game ya leo alikua anapandisha timu vizuri, kacheza sana nimempenda for real, ila shida yake kubwa ni kwenye kudefence pale timu inapokua haina mpira.
Na hapo ndipo strength zake zilipo. In a game kijana ata-win duels 95% or more.Guendouzi vs Burnley:
90 Minutes Played
94% Passing Accuracy
54 Passes
4 Interceptions
Won all 3 ground duels
View attachment 1184018