Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mchezaji aliyesajiliwa kwa 80m bado anahitaji mda !!!!!!!!
Mchezaji aliyesajiliwa kwa njia ya mkopo wa hisani anaonesha kiwango tayari !!!!!!!!

Dunia mbaya sana hii, Utapeli upo kila sehemu
 
Huyu jamaa sidhani kama anahitaji kurudia Madrid kwasababu anakiwasha kwa mapenzi ya team.
 
Joe Willock: “ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."

Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?
 
Hahahaha kazi unayo. Kocha wenu miyeyusho badala ya kumuanzisha Kante eti kamuweka bench mkala nne, asingeingia mngepigwa wiki
Sasa kante ataanzia kwenye gemu dhidi yenu ...nadhani umeona kazi yake ...jipangeni sana...
 
Hahahaha kazi unayo. Kocha wenu miyeyusho badala ya kumuanzisha Kante eti kamuweka bench mkala nne, asingeingia mngepigwa wiki
Unai ndo miyeyusho aliyepitiliza ..mchezaji aliyevunja record ya arsenal uyo Pepe ana anzia bench
wachezaji wa mikopo ambao sio wa kwenu wana anza ..huu ni upumbavu wa hali ya juu anafanya uyu kocha..thamani yake iko wap sasa au bado mnadaiwa maana mnalipa kwa mafungu mafungu
 
Joe Willock:

“ Wote tunatokea sehemu moja - Hale End - na wote tunaendelea vizuri. Kucheza karibu na rafiki yangu wa karibu Reiss Nelson ni vizuri. Ndoto imetimia. Naishi ndoto yangu."

Umeomaje viwango vya vijana wetu hii leo?
 
Wakuu nasikia ceballos kauwasha

Nipen tathimin ya pepe

Leo nipo kanisan sijaangalia mpira
Mkuu nami nilikuwa church, tuna bahati mbaya msimu huu mechi zetu nyingi zipo jumamosi kulinganisha na msimu uliipita nyingi zilikuwa jumapili .... Ila la muhimu tumeshinda, tusubiri gemu la liver
 
Mkuu nami nilikuwa church, tuna bahati mbaya msimu huu mechi zetu nyingi zipo jumamosi kulinganisha na msimu uliipita nyingi zilikuwa jumapili .... Ila la muhimu tumeshinda, tusubiri gemu la liver
Emery awe serious sasa ,aweke kikosi strong ,
 
Ni wazuri sema wanahitaji uzoefu ila kuwaanzisha kwenye mechi ngumu hasa dhidi ya big six ni kuwatafutia lawama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…