Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,150
- 17,003
Mna safari ndefu. Sijaona kama mpo serious.
Naomba matokeoKwan wewe huwa hujipigi ban?
SikwelNilisema, naomba isiwe hivyo, I see Suarez in Ceballos
Akikupa unitagNaomba matokeo
Niambie bixente umenikumbusha mbali sana na huyu mwamba acha tu tuangalie hivi vituko vya siku hizi
Hii ni mechi ya kwanza bado 37 ila wamejitahidi sana ukizingatia ceballos Pepe wameingia kipindi cha 2 ila kwa sasa hamna kisingizio angalia Ozil Kolasinac Lacazette Toreira Luiz wote hao hata uwanja hawajagusa kabisa ila kwangu man of the match ni Xhaka jamaa akitulia huwa ni balaaNilisema, naomba isiwe hivyo, I see Suarez in Ceballos
Timu ilikuwa na makinda karibu wanne na imecheza vzr sana,Hii ni mechi ya kwanza bado 37 ila wamejitahidi sana ukizingatia ceballos Pepe wameingia kipindi cha 2 ila kwa sasa hamna kisingizio angalia Ozil Kolasinac Lacazette Toreira Luiz wote hao hata uwanja hawajagusa kabisa ila kwangu man of the match ni Xhaka jamaa akitulia huwa ni balaa
st Clean sheet (Leno
)
Points
Away Points
Aubameyang
Nilesyeah beki zimetulia vizuri leo, nadhani wakipata mechi kadhaa na kuelewana aise watanoga sana, na rotation kadhaa ili tujue nani anaendana na nani!Wachezaji first 11 , kama 13 hawakuwepo. ,na tu imecheza vzr hasa beki
COYG
Angekuwepo mustafi tungepigwayeah beki zimetulia vizuri leo, nadhani wakipata mechi kadhaa na kuelewana aise watanoga sana, na rotation kadhaa ili tujue nani anaendana na nani!