Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Still badosijavutuiwa
Unaikumbuka hii?Hahahhaha kwahiyo mmnamiliki nyie au sio
Kuondoka kwa luiz kumewavuruga sana, hadi unaota pepe ni mchezaji wa Chelsea
By ze way Leo mnachezea kipigo
Kwan wewe huwa hujipigi ban?Kuanzia Leo mjiandae kisaikolojia , ninachokupendea hujipigagi ban kama yule mwenzako,
Ila kuanzia Leo muwe tayari kujiandaa kisaikolojia , msije kusema hamkuonywa
Uyu tutamchukua then akifikisha umri kama wa Luiz tutawarudishia tu![]()


Hakuna namna, huku watakua wanakuja kuretire tu.Mkuu hapo atoke matteo na willock tu, thn aingie Torreira na ceballos tunashinda hii game chap sana,Willock na Nelson bado wanao muda wa kucheza, ni vema akawapa wazoefu nafasi. Hawa watumike Carabao.
Afanye haraka, wanakera sana.Mkuu hapo atoke matteo na willock tu, thn aingie Torreira na ceballos tunashinda hii game chap sana,
Mi nikimuonaga tu uwanjani najua tuna mechi ngumu Jamaa kaisha kupita maelezoArsenal should consider selling Mkhitaryan