We jipe moyo tu lkn hali ya timu yako unaijua kimoyomoyo,mjiandae kujambishwa na kina Rushford,Lindgard,Martial na huyo mmasai wenu OGS hatoboi mwezi 12 na mashabiki wa Man mlivyokuwa na mioyo ya plastic,mtasusa sana kuiangalia timu yenu,mpaka sasa mshatimiza miaka 6 hamna EPL na mwaka huu mtaishia kunawa lkn kula hamli.
Wenzetu wameuza makoa wamebakia na visu,nyinyi mmeuza visu mmebakia na makoa,timu huna huyo Magure na Mustafi ,Mustafi bora kuliko Maguire na wachezaji wenyewe wauingereza kama saa mbovu.