Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Everton switched their sights to Iwobi late in the transfer window having been frustrated in their long-running attempt to seal a club record deal for Wilfried Zaha.
IMG_20190808_200537.jpeg
 
"Alex has made a big contribution at Arsenal. He worked hard in the academy, where he was an example to many young players and has been an important part of our squad. We wish Alex every success in the future." - Unai Emery

All the best at @Everton, @alexiwobi
IMG_20190808_221059.jpeg
 
Nisema tu ukweli Arsenal na Spurs ndo timu zilizofanya usajili mzuri, timu za kutoka Manchester zimefanya usajili wa gharama ila wa kawaida (note: ni usajili mzuri kwa upande wa makaratasi) ivyo tunategemea makombe mengi kwenye clabu hizi mbili za kutoka London.

Kama Arsenal musipobeba makombe zaidi ya mawili msimu huu basi Unai aondoke tu. Na timu yenu itakuwa ni kama genge la waimba taarabu tu,,
 
Aroon nakushukuru sana aisee maana niliweka kambi humu kujua mbivu na mbichi, hakika kwa update tu umejua kunifurahisha, kwa usajili huu hata tukifungwa ni bahati mbaya, ligi ianze sasa ili kila mtu avune alichopanda
 
Kieran Tierney tells Rob Holding: '6 weeks I should be fully fit, could be sooner'
 
The signing of Iwobi to Everton is confirmed.

17 years of his life, living his boyhood dream, playing for the club he supported.

Brings me to tears to see him go #GoodbyeIwobi

tapatalk_1565327667672.jpeg
 
Back
Top Bottom