Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Nataman niongelee lkn nadhani weng watakuwa wamelipenda hili deal na pengine zaid ya madeal yote.
Au likawa LA pili kati ya sita .
Kwa upande Wang pepe is the best,
luiz is a good signing.... Ana kitu kimoja kinaitwa leadership na anajua kufanya vzur hapa.... Huyu n beki mwenye kuanzisha mashambulizi na mpiga mipira mingi ya uhakika miongon mwa mabeki waliopo dunian kwa sasa.... Ana fighting sprit ake iko high sana... Anajua kudrible ,switch kwa angle zilizo sahii na kwa muda sahii.... N moja ya mabek wanaojua kusense danger na hili tulilikosa kwa muda sasa mabek wetu huwa hawawez kusense hatari...ila luiz kidogo anauwezo japo sio mkubwa ila huwa anasense danger .
Na mwisho nadhani tumepata beki mpiga freekick ....
Yaan anaondoka koscienly anakuja luiz wamefanana baadhi ya vitu vingi ila luiz ana potential ya kuscore dead balls,freekick na kudrible ,kuanzisha mashambulizi ya maana zaid ya boss6
Kwa arsenal MTU anayeweza kuanzisha mashambulizi alikuwa n mustaf pekee nadhani kaongezewa MTU kama atacheza nae ...
*Ila* niwakumbushe pia kuwa luiz sio bek mzuri sana pale kwenye marking hapa anahitaji acheze na MTU kweli maana yeye akili yake anawazaga kucheza sana mpira kuliko kukaba.
Luiz n beki ambaye anaweza pia kutumika kama kiungo mkabaji kutokana na uwezo wake wa kumiliki,kucheza na nguvu alizo nazo za mpira.
I wish him the best.... Ngoja tuone kocha atampanga na nan
AROON ze Gunnerz
Au likawa LA pili kati ya sita .
Kwa upande Wang pepe is the best,
luiz is a good signing.... Ana kitu kimoja kinaitwa leadership na anajua kufanya vzur hapa.... Huyu n beki mwenye kuanzisha mashambulizi na mpiga mipira mingi ya uhakika miongon mwa mabeki waliopo dunian kwa sasa.... Ana fighting sprit ake iko high sana... Anajua kudrible ,switch kwa angle zilizo sahii na kwa muda sahii.... N moja ya mabek wanaojua kusense danger na hili tulilikosa kwa muda sasa mabek wetu huwa hawawez kusense hatari...ila luiz kidogo anauwezo japo sio mkubwa ila huwa anasense danger .
Na mwisho nadhani tumepata beki mpiga freekick ....
Yaan anaondoka koscienly anakuja luiz wamefanana baadhi ya vitu vingi ila luiz ana potential ya kuscore dead balls,freekick na kudrible ,kuanzisha mashambulizi ya maana zaid ya boss6
Kwa arsenal MTU anayeweza kuanzisha mashambulizi alikuwa n mustaf pekee nadhani kaongezewa MTU kama atacheza nae ...
*Ila* niwakumbushe pia kuwa luiz sio bek mzuri sana pale kwenye marking hapa anahitaji acheze na MTU kweli maana yeye akili yake anawazaga kucheza sana mpira kuliko kukaba.
Luiz n beki ambaye anaweza pia kutumika kama kiungo mkabaji kutokana na uwezo wake wa kumiliki,kucheza na nguvu alizo nazo za mpira.
I wish him the best.... Ngoja tuone kocha atampanga na nan
AROON ze Gunnerz

